Benki gani inakopesha pesa ya kuanzisha biashara?

southernboy

JF-Expert Member
Sep 27, 2015
826
1,017
Habari wakuu, mimi nina idea na biashara lakini nimeshindwa kabisa kuanza kwasababu ya kiuchumi.
Naomba kuuliza ni bank ipi inatoa mikopo kwa watu aina kama yangu au kama kuna mdau wa JF ataweza kunisaidia niweze kujikwamua.

Idea nimeifanyia utafiti wa kutisha na kujiridhisha lakini sina pesa ya kutosha kuanzisha.
 
Habari wakuu, mimi nina idea na biashara lakini nimeshindwa kabisa kuanza kwasababu ya kiuchumi.
Naomba kuuliza ni bank ipi inatoa mikopo kwa watu aina kama yangu au kama kuna mdau wa JF ataweza kunisaidia niweze kujikwamua.

Idea nimeifanyia utafiti wa kutisha na kujiridhisha lakini sina pesa ya kutosha kuanzisha.
Usianze biashara kwa pesa ya mkopo.
 
Habari wakuu, mimi nina idea na biashara lakini nimeshindwa kabisa kuanza kwasababu ya kiuchumi.
Naomba kuuliza ni bank ipi inatoa mikopo kwa watu aina kama yangu au kama kuna mdau wa JF ataweza kunisaidia niweze kujikwamua.

Idea nimeifanyia utafiti wa kutisha na kujiridhisha lakini sina pesa ya kutosha kuanzisha.
Zaid ya zile za kislamu hakuna tena wenyewe wanakununulia products na syo kupewa pesa

Hawa wengine wanataka biashara ambayo ipo kwenye mzunguko
 
Fanya kitu kimoja kama Una dhamana , mara nying wanataka nyumba , hata kama haijaisha , mtafute mtu mwenye biashara at least iwe na miez 6 mshawish muende mkakope , yeye apeleke maombi ya mkopo hafu wewe uwe kama Una mdhamini kupitia nyumba yako , ,
Watahitaji TIN NUMBER,LESEN YA BIASHARA , TAX CLEARANCE CERTIFICATE , Hati ya nyumba

Jitahid huyo mwenye biashara awe muaminifu ili mkopo ukitoka akupe hiyo hela ufanye Jambo lako , ila ukumbuke kulipa maana ukizingua nyumba inauzwa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom