BEDUI Jr
JF-Expert Member
- Dec 15, 2016
- 2,041
- 2,836
Ahsante kwa mchango wakoStationary ndiyo stationery?
Utaweza kweli kuchapa kazi za wadau bila kukosea spelling?
Ahsante kwa mchango wakoStationary ndiyo stationery?
Utaweza kweli kuchapa kazi za wadau bila kukosea spelling?
Flem bado hapoMkuu! kwangu mimi naona kama itakuwa haitoshi kidogo.
Maana kuna vitu kadhaa kma Laminator ujaweka haya mazaga zaga ya kuuza, kikabati cha kuwekea bidhaa (daftari,peni,rula, markerpen,compass) kiti na meza n.k
Lakini kama frem umeshalipia kwa hiyo kiasi kilichobakia unaweza anza kibishi ubishi.
Location wapi?Flem bado Hapo
Kuwa na One M nje ya pangoWakuu habari zenu,
Kama kichwa kinavyosema Hapo juu Nina Printer, photocopy machine na Computer .Na nimejichanga nimepata pesa kiasi cha Laki sita(600,000/=) .kwa mtaji huo naweza kufungu au bado nahitajika kuongeza mtaji?
Kwa wazoefu naomba pia mnipe changamoto zake.
Nawasilisha
Kuuliza ndio Ushetani mkuu?Ukiskia Mfano tosha wa kazi timilifu ya shetan..ndo hii sasa
Hapo unaweza ukaanza kama utaofia kuila pesa, but angala imgefika 1m hivi ingekuwa sawa, kwasababu kunagharama kidogo ya lazima kama meza, kiti n.kWakuu habari zenu,
Kama kichwa kinavyosema Hapo juu Nina Printer, photocopy machine na Computer .Na nimejichanga nimepata pesa kiasi cha Laki sita(600,000/=) .kwa mtaji huo naweza kufungu au bado nahitajika kuongeza mtaji?
Kwa wazoefu naomba pia mnipe changamoto zake.
Nawasilisha
Kuijua vyema Kazi unayotaka kuifanya ni kuhimu kuliko huo Mtaji wenyewe.Ujumbe ume uelewa au, jikite kwenye mada achana na ishu zisizokuwa na
msingi.
Utaweza sana anza na ulichonacho. Hii biashara niliifanya kwa miaka 3 nlipoaiacha nikampa mtu ikafa ina faida sana kama location iko saf.Wakuu habari zenu,
Kama kichwa kinavyosema Hapo juu Nina Printer, photocopy machine na Computer .Na nimejichanga nimepata pesa kiasi cha Laki sita(600,000/=) .kwa mtaji huo naweza kufungu au bado nahitajika kuongeza mtaji?
Kwa wazoefu naomba pia mnipe changamoto zake.
Nawasilisha
Itategemea unataka kufungua stationery ya namna gani, ila km unataka kuweka photocopy na computer na machine zote hiyo hela unaweza kupata photocopy pekee, labda kama unataka kuuza vitu km daftali na penWakuu habari zenu,
Kama kichwa kinavyosema Hapo juu Nina Printer, photocopy machine na Computer .Na nimejichanga nimepata pesa kiasi cha Laki sita(600,000/=) .kwa mtaji huo naweza kufungu au bado nahitajika kuongeza mtaji?
Kwa wazoefu naomba pia mnipe changamoto zake.
Nawasilisha
Ukiskia Mfano tosha wa kazi timilifu ya shetan..ndo hii sasa
Mkuu photocopy, printer na computer ninazoItategemea unataka kufungua stationery ya namna gani, ila km unataka kuweka photocopy na computer na machine zote hiyo hela unaweza kupata photocopy pekee, labda kama unataka kuuza vitu km daftali na pen
Location ndio natafuta mkuuLocation wapi?
Hiyo laki sita fanya hivi (makadirio)Wakuu habari zenu,
Kama kichwa kinavyosema Hapo juu Nina Printer, photocopy machine na Computer .Na nimejichanga nimepata pesa kiasi cha Laki sita(600,000/=) .kwa mtaji huo naweza kufungu au bado nahitajika kuongeza mtaji?
Kwa wazoefu naomba pia mnipe changamoto zake.
Nawasilisha
Ahsante sana mkuuHiyo laki sita fanya hivi (makadirio)
200,000 kodi ya fremu
200,000 meza 2 na viti
20,000 vifaa vya usafi
9,000 nunua Rim paper
50,000 matumizi ya ziada
50,000 Nunua peni, pensils, marker pen, vichongeo, ufutio, rula, Bahasha A4,
50,000 nunua kamera ndogo kwa ajili ya Passport Size.
5000 nunua karatasi za passport size
3,000 binding tape
5,000 stapler
2,000 stapler pins.
Lamination na Binding Machine utanunua baadae.
Anza mapambano.
Mimi nimefungua yangu Januari 2021 kwa mtaji huohuo around 600,000 / 700,000
Mkuu kodi ya pango hiyo Tshs.200,000 inakuwa kwa muda gani na LOCATION ya maeneo ya wapi?Hiyo laki sita fanya hivi (makadirio)
200,000 kodi ya fremu
200,000 meza 2 na viti
20,000 vifaa vya usafi
9,000 nunua Rim paper
50,000 matumizi ya ziada
50,000 Nunua peni, pensils, marker pen, vichongeo, ufutio, rula, Bahasha A4,
50,000 nunua kamera ndogo kwa ajili ya Passport Size.
5000 nunua karatasi za passport size
3,000 binding tape
5,000 stapler
2,000 stapler pins.
Lamination na Binding Machine utanunua baadae.
Anza mapambano.
Mimi nimefungua yangu Januari 2021 kwa mtaji huohuo around 600,000 / 700,000
Well saidHiyo laki sita fanya hivi (makadirio)
200,000 kodi ya fremu
200,000 meza 2 na viti
20,000 vifaa vya usafi
9,000 nunua Rim paper
50,000 matumizi ya ziada
50,000 Nunua peni, pensils, marker pen, vichongeo, ufutio, rula, Bahasha A4,
50,000 nunua kamera ndogo kwa ajili ya Passport Size.
5000 nunua karatasi za passport size
3,000 binding tape
5,000 stapler
2,000 stapler pins.
Lamination na Binding Machine utanunua baadae.
Anza mapambano.
Mimi nimefungua yangu Januari 2021 kwa mtaji huohuo around 600,000 / 700,000
Camera ya Tsh 50,000 unanunua kwa mtu utapata yenye megapixels 13 hadi 20 inafaa kwa passport size. Kama Simu inapiga vizuri picha anaweza akaanza na simu ila flash ya simu ni ndogo picha zinaweza kufifia.Mkuu kodi ya pango hiyo Tshs.200,000 inakuwa kwa muda gani na LOCATION ya maeneo ya wapi?
Camera ya Tshs.50,000 uanunua dukani au mkononi (used)? Itakuwa na uwezo mzuri kweli mkuu? Au ni bora akapigia simu yenye quality nzuri ya camera?