othuman dan fodio
JF-Expert Member
- Jan 2, 2018
- 5,668
- 9,054
Cc ti ara ei tuna kuzuum tu
kama unaweza nunua printer yenye uwezo wa ku scanNaomba kujua bei ya scanner, na aina gan nzuri kwa matumiz ya stationery
NA KAMA UHITAJI WAKE MKUBWA NI SCANNER NZURI,kama unaweza nunua printer yenye uwezo wa ku scan
KAMA UHITAJI WAKO MKUBWA NI SCANNER NZURI,Naomba kujua bei ya scanner, na aina gan nzuri kwa matumiz ya stationery
Hii thread ni nzuri ikiwa utapata feedback kwa walionza biashara hiyo.
Mimi binafsi bado nina nia ya kuanzisha biashara hii na kilichonivutia zaidi ni kuwa nilikuwa nanunua vifaa vya ofisi pale Pran Pen Corner kwa kweli jamaa wanauza vitu in very reasonable price na kwa kuwa sasa nimehamia Tanga kimaisha ndio imenijia Idea hii ya kutaka kufungua biashara hii na kuwaweka wao kama main supplier wa vitu vingi vya stationery.
Mtaji bado unasumbua na kama nitapata feedback nzuri itanosaidia sana na nitapata mawazo mazuri zaidi jinsi ya ku approach biashara hii.
Tunasubiri michango yenu wana JF
Hii thread ni nzuri ikiwa utapata feedback kwa walionza biashara hiyo.
Mimi binafsi bado nina nia ya kuanzisha biashara hii na kilichonivutia zaidi ni kuwa nilikuwa nanunua vifaa vya ofisi pale Pran Pen Corner kwa kweli jamaa wanauza vitu in very reasonable price na kwa kuwa sasa nimehamia Tanga kimaisha ndio imenijia Idea hii ya kutaka kufungua biashara hii na kuwaweka wao kama main supplier wa vitu vingi vya stationery.
Mtaji bado unasumbua na kama nitapata feedback nzuri itanosaidia sana na nitapata mawazo mazuri zaidi jinsi ya ku approach biashara hii.
Tunasubiri michango yenu wana JF
Hii haina mantiki, kikubwa ni kufika kwa ujumbe pamoja na kueleweka!Naomba urekebishe title; ina mislead kidogo ni stationery na si stationary.
Japo imepita miaka kadhaa, unaweza kunupa machimbo ya bidhaa za stationery kariakoo?Utaweza sana anza na ulichonacho. Hii biashara niliifanya kwa miaka 3 nlipoaiacha nikampa mtu ikafa ina faida sana kama location iko saf.
Unanunua kitu kkoo kwa 300 unauza kwa buku
Nenda mtaa walindiJapo imepita miaka kadhaa, unaweza kunupa machimbo ya bidhaa za stationery kariakoo?
mkuu kama vipi unaweza kunicheki pm nikuagizie printers kutoka DubaiNaomba kujua Epson printer nzur kwa matumiz ya stationery ambayo pia naweza ku refill wino ukiisha...
Ikoje mkuu br cjakuchek online?mkuu kama vipi unaweza kunicheki pm nikuagizie printers kutoka Dubai
nicheki inbox nikuagizie dubaiMimi nahitaji velo binding machine usedView attachment 2291370
Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
zicheki hizo kisha tutawasiliana zaidi pia unaweza kunicheki pm nikupe whatsapp number yanguIkoje mkuu br cjakuchek online?
Ndio tena mara mbili zaidiHivi hii biashara huwa ina faida?