Hujui ulisemaloUnatosha kuanzia. Usimkatishe tamaaa. Anaweza kuanza kwa kununua madaftari/makaunterbooks, kalamu, mabunda ya karatasi, chaki na vifaa vingine vidogo vidogo wakati anajipanga kununua machine mbalimbali hata used. Kinachofanya biashara sio mtaji bali ni determination na guts to start a first step.
Endelea na mawazo yako ya kusubiri mtaji. Watu walionza from zero wanafahamu kwa experience zao. Anyway kukubali kutokukubaliana Ndio msingi wa maendeleo. Mungu akubariki wewe na uzao wako.Hujui ulisemalo
Unaweza kusubirisha hela?Kuliko apoteze huo mtaji kwa hiyo biashara ya steshenari ..bora asubiri kwanza apate mtaji wa kutosha asiwe na haraka
Ahsante, je unaweza ukanifafanulia kidogo gharama za mahitaji?3mil min
3.5/ 4 MLHabari za muda huu wakuu,
Naomba kuuliza kuhusu mtaji ambao utaniwezesha kufungua stationery. Pia anayefahamu gharama za photocopying machine, printer ya rangi, binder, desktop ndogo inayoweza kazi za stationery, na vitu vinginevyo ambavyo unanishauri.
Karibuni kwa ushauri.
Ahsante sanaPhotocopy machine inayogeuza page yenyewe andaa angalau milioni 2, ambayo haigeuzi itakubudi wewe ndio uwe unageuza andaa milioni 1.5, Nunua photocopy zikizotengenezwa na canon, endapo utanunua used basi hakikisha unaenda na fundi kuicheki maana nyingi zinakuwa zimechoka
lamination ni laki 1
Deaktop full set ni laki 3
Printer na scanner unaweza kutumia photocopy machine hio hio ila kama utahitaji basi nununua printer aina ya epson l382 inauzwa 380,000 hadi 420,000 kulingana na utaponunua, inaprint rangi na hata picha za passport size na za kawaida, inatoa copy elf 5 za rangi na elf 7 kwa black and white, wino wake ni elf 3 tu kariakoo na mikoani ni elf 5.
Ukisikia Mfano tosha wa kazi timilifu ya shetan..ndo hii sasaStationary ndiyo stationery?
Utaweza kweli kuchapa kazi za wadau bila kukosea spelling?
Unatosha kabisa ndugu nunua vitu muhimu tu vilivyobaki nyingine lipa Kodi ya frem rahisi Kisha utakuza mtaji taratibuWakuu habari zenu,
Kama kichwa kinavyosema Hapo juu Nina Printer, photocopy machine na Computer .Na nimejichanga nimepata pesa kiasi cha Laki sita(600,000/=) .kwa mtaji huo naweza kufungu au bado nahitajika kuongeza mtaji?
Kwa wazoefu naomba pia mnipe changamoto zake.
Nawasilisha
Ujumbe ume uelewa au, jikite kwenye mada achana na ishu zisizokuwa na msingi.Stationary ndiyo stationery?
Utaweza kweli kuchapa kazi za wadau bila kukosea spelling?
Mkuu! kwangu mimi naona kama itakuwa haitoshi kidogo.Wakuu habari zenu,
Kama kichwa kinavyosema Hapo juu Nina Printer, photocopy machine na Computer .Na nimejichanga nimepata pesa kiasi cha Laki sita(600,000/=) .kwa mtaji huo naweza kufungu au bado nahitajika kuongeza mtaji?
Kwa wazoefu naomba pia mnipe changamoto zake.
Nawasilisha
Sawa mkuuKama printer ina wino ulichobakiza ni ream papers tsh 9,000 tu, zingine mbwembwe
Ahsante mkuuUnatosha kabisa ndugu nunua vitu muhimu tu vilivyobaki nyingine lipa Kodi ya frem rahisi Kisha utakuza mtaji taratibu