OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 49,080
- 103,312
Zile fedha zilitoka kwa GSM, alipokelea Mwanza
Mkuu wa mkoa wapi ushuziii tu yul3.Biashara United inakabiliwa na changamoto ya nauli kwenda kwenye mechi ya marudiano na hata pesa za waamuzi ilikuwa changamoto, Yule mkuu wa mkoa Yuko wapi au anahaidi mechi ya Simba
Sio team ya jeshi ila kwakuwa wanatoka mpakani(tz na kenya) ndo maana wamejiita wanaajeshi wa mapakaniSi wanasema ni wanajeshi wa mpakani au ni jina tu siyo timu ya jeshi?
Acha kupenda lawama kama mtoto wa kambo mtu hakopeshwi hela bila yeye kutaka kukopa hao biashara walifanya juhudi gani ya kukopa hiyo hela kama taasisiHapa hakuna tff Ni takataka tu Kama tungekuwa na shirikisho makini lingeshughulikia kila kitu hata kwa kuwakopea pesa waje walipe badae kwenye viingilio.
Huu upuuzi pia tff inatakiwa kulaumiwa
Huitakii mema hiyo timu. Ikinunuliwa na Chadema kila ichezapo referees no 1,2 na 3 watakuwa CCM.BIASHARA UNITED NI TIMU KUBWA YENYE WACHEZAJI WAZURI,NINGELIKUWA NA UWEZO NINGELIINUNUA ISAIDIWE HARAKA HATA KWA HARAMBEE,AU CHADEMA IINUNUE TWENDE NAYO KWA HARAMBEE**kuliko kukichangia chama mfu
Mapenzi ya Mkuu wa mkoa kwa Biashara united huja pale timu hiyo inapokuwa na mechi dhidi ya Simba.Mpaka jioni bado walikuwa hawajaondoka, wamefanikiwa kupata ndege ya serikali lakini hawajapata vibali vya anga kwa ndege. Mkuu wa mkoa kajikausha kimya Kama sio yeye aliyekuwa anatoa ahadi.
Kwa hiyo nje ya mshahara wake hawezi kupata pesa isipokuwa apewe na GSM? Simba akili zenu ni kama mnakulaga udongo.Efm walimuuliza kuhusu kuisaidia biashara akadai hawezi kutoa pesa za mshahara wake tayari keshajiumbua ile ahadi haikuwa yake Bali gsm ila ushabiki wake maandazi kwa biashara unaweza kuiharibu timu badala ya kuisaidia
Biashara walijua wanatakiwa kusafiri, walitakiwa waanze mchakato mapema wao kama waoHapa hakuna tff Ni takataka tu Kama tungekuwa na shirikisho makini lingeshughulikia kila kitu hata kwa kuwakopea pesa waje walipe badae kwenye viingilio.
Huu upuuzi pia tff inatakiwa kulaumiwa
Itakuwa vyema kwa ajili ya kumbukumbu ukiweka video/audio akiongea hayo mkuu rodrick alexander .Mkuu was mkoa kaulizwa anasema hawezi kutoa pesa ya mshahara wake kusaidia biashara ni wazi anakiri zile pesa zilikuwa za gsm
"Jenzi" ni nini!?Kwani Barrick wanafanya nini kwenye jenzi za Biashara UTD?
Hao wanaosema jenzi wengi kweli,hiki kizazi sijui kina nini"Jenzi" ni nini!?