mafundi

  1. k-bee

    Mafundi Sanifu Maabara wa sekondari wamewakosea nini Walimu

    Malenga wapya muhali gani?? Me muhenga naendelea vyema na ombi langu kubwa ni Mola atuvushe katika hali yetu ya Taifa kwa sasa. Kuna uzi uliwekwa humu kama kero za mafundi sanifu maabara wakiiomba(kuitaka) serikali kuangalia upya maslahi yao na miundo yao ya mishahara na hata uboredhaji wa...
  2. Mad Max

    Kwa wamiliki wa Magari na Mafundi Gereji: OBDII Diagnosis Scanners za Bei Nafuu!

    Wakuu, Kwa mafundi magari (mechanics) na wamiliki wa magari wanaopenda kufanya ukaguzi wa magari yao mara kwa mara, kuna OBD II Diagnosis Scanners hapa za bei ndogo. 1. ELM 327 Mini OBD II Bluetooth Scanner - Tsh 15,000/= -Hii ipo ya V2.1 versions -Inatumia Bluetooth, utadownload App kwenye...
  3. Desierto

    Kwanini serikali haitaki kuwekeza kwenye elimu hasa ya mafundi simu?

    Hebu fikiria hizi picha hapo chini nimejifunza mwenyewe jinsi ya kutoa na kurudishia emmc hadi prosesa. Je ningeweza kusoma na kufundishwa si ningekuwa mbali zaidi. Wao kazi yao ni kuja tu kudai leseni kaa mafundi simu ila kutusaidia tuwe na ujuzi zaidi hawataki. Mfate fundi simu yoyote...
  4. Bwashee Machui

    Ukosefu wa ajira ni janga katika ongezeko la mafundi wasiokuwa na ujuzi timilifu

    Kwa hili ntapata kuzungumzia katika nafasi yangu ya fundi ujenzi (UASHI).... Aisee mafundi wengi miyeyusho sana twende kwenye komenti...
  5. O

    Mafundi na wafanyabiashara wenye tabia za kimasikini, mtaendelea kupoteza wateja

    Unamwambia MTU Bei ya KITU flani 40000 akikudeshi kama anauliza mara ya pili unapandisha unahisi hakusikia mwanzo ? Jitahidini manpotamla Bei MUWE na misimamo. Mwingine akasema Bei ya kutengeneza KITU ni kiasi flani alipo maliza kikafanya kazi anapandisha Bei anaanza kubembeleza nakufosi fosi...
  6. Kicheche mkali

    Fursa Kwa mafundi, clients na wauzaji wa vifaa vya Ujenzi......Kuna link kujiunga na sisi

    🏗️ FURSA YA UJENZI & CONNECTIONS TANZANIA NZIMA! 🇹🇿 Je, wewe ni Fundi stadi, Muuzaji wa vifaa, au Mwenye nyumba unayetafuta huduma bora? Huu ndio mchongo wako! Tumeanzisha Group la UJENZI & CONNECTIONS TZ kwa lengo la kuunganisha wataalamu na fursa nchi nzima. 🛠️ KWA MAFUNDI (Fani Zote)...
  7. Hance Mtanashati

    Utapeli mpya kwa mafundi, kuweni makini

    Huu uzi unawahusu mafundi aina zote haswa mafundi ujenzi. Usione watu wana miliki nyumba zaidi ya 10 ukadhani zote wamejenga kihalali kumbe nyuma ya pazia kuna uchafu umefanyika kukamilisha ujenzi huo. Mchezo upo hivi, tajiri atakuita vizuri atakupa kazi na mtaanza vizuri tu mwanzoni , ila...
  8. M

    Sababu ya za Nissan Dualis kuwaka moto… Sio tatizo la kiwandani bali uzoefu mdogo wa mafundi wetu kwenye magari ya Nissan hata ukizingatia service

    Sio kwamba Nissan Dualis zina kasoro ya kiwandani hadi zote ziungue moto. Tatizo kubwa ni service duni na mafundi wasio wataalam wa Nissan. 1. Kuna Plastiki ya kuzuia joto (heat shield/insulation) nyuma ya engine na lipo karibu sana na bomba la moshi, loki za plastiki, zikipata joto kali...
  9. I

    TUACHE KUWASINGIZIA MAFUNDI WETU WANAPOLALAMIKA UBOVU WA MAGARI YA KISADA

    Nimekuwa nikifuatilia,Kuna wimbi kubwa sana la kuwabeza mafundi wetu wa MAGARI ambao miaka na miaka wametutengenezea magari modeli za zamani.Mafundi Hawa wamekuwa wakisema magari modeli mpya ni pasua kichwa.Hapo watanzania wamekuwa wakiwabeza sana ,mara ohhh mafundi wa chini ya mwembe. Lakini...
  10. Stability

    Ila mafundi wa kihaya mna sifa

  11. VictoriaGreenHerbal

    Vinyama vya Ajabu Vinavyotokea Kimya Kimya (HPV)

    Vinyama vya Ajabu Vinavyotokea Kimya Kimya (HPV) Mara nyingi vinaanza vidogo, bila maumivu au kuwasha, lakini huendelea kukua taratibu bila onyo. Hivi si vinyama vya kawaida — ni genital warts, vinavyosababishwa na kirusi hatari kinachoitwa HPV (Human Papillomavirus). 🔬 HPV siyo kirusi cha...
  12. Pdidy

    MAFUNDI WA TI7LES SQR MTR 4000 OR LESS COME NBOX.

    kiwanja n kwa Mathias Kibaha kama bei zako ziko 4000 tzs kwa sqr mtr or less come nbox
  13. Pdidy

    Hivi mafundi wa umeme (wiring) mnavyopanda na mabegi yenu darini mnatafutaga nini hivi?

    Wale wajenzi na mafundi, tafadhali tusaidiane katika hili. Mara nyingi huwa mnapanda juu mkibeba mabegi na waya zetu za wiring. Swali langu ni: kule juu huwa mnafanyia nini na hayo mabegi? Na je, tunapowasachi tunakosea kweli? Tusijaribu kuingizana kwenye majaribu, wapendwa. Jana nilikuwa...
  14. Eli Cohen

    Mwamba amekuta mafundi wanaiba cement hii ndio adhabu aliowapa

  15. BabaMorgan

    Kipi sahihi kuwa na fundi mmoja permanent ama kubadilisha mafundi?

    Nina wasiwasi na fundi anayenirekebishia pikipiki anatumia udhaifu wangu wa kutokuwa na uelewa juu ya changamoto za pikipiki na kutojua bei ya vifaa kunikanda linapokuja ishu ya payments baada ya service. Kwa wamiliki na wazoefu wa pikipiki which ni best way ya kufanya service kutumia fundi...
  16. M

    Je, Mafundi Wetu Ndio Wanaangamiza Magari Mapya? Tuchambue Ukweli

    Magari mapya yanayoingia nchini, hasa yenye plate mpya kama D au E, yamekuwa yakikumbwa na matatizo makubwa ndani ya muda mfupi tu baada ya kuanza kutumika. Hali hii imeibua maswali mengi kuhusu chanzo cha matatizo hayo. Uchambuzi unaonesha kuwa, licha ya uwezekano wa kuwepo kwa magari mabovu...
  17. CM 1774858

    Rais Samia amejenga jumla ya VETA mpya 94 na 29 alizozikuta amezikarabati

    Rais Samia amejenga vyuo vya VETA 94 na amekarabati vyuo 29 Wanafunzi 440,000 wanaendelea na masomo kama msingi wa Dira2050. Serikali ya Rais Samia imekamilisha ujenzi wa vyuo 29 vya mafunzo ya ufundi stadi ambavyo vimeanza kutoa mafunzo, kuendelea na ujenzi wa vyuo 65 na kukarabati vyuo 29 vya...
  18. N

    Ilibaki kidogo nichapwe elf 45 kwa kudhani Tv imeharibika sehemu ya kuweka flashi kumbe ni betri za remote hazina nguvu

    Jumapili kidogo nichapwe elfu 45 nikidhani TV imeharibika sehemu ya kuweka flashi. Nikaibeba kuipeleka kwa fundi, Nikaambiwa sehemu hio imeungua, inahitaji kubadilishwa Muda huo remote inafanya kazi vizuri tu lakini ukiminya sehemu ile ya kufungulia flash inakataa Fundi akasema nimsubiri...
  19. Braza Kede

    Mafundi wa umeme wa magari wanasomea wapi?

    Wakuu hivi kuna vyuo vya hii kitu au ndo full janjajanja za mjini? Inasomewa vyuo gani hapa nchini? Kozi inaitwaje? Nahitaji hii kitu one day aisee.
  20. KENGE 01

    Kwa Wamiliki wa Maduka ya Spare za Magari, Mafundi, Wamiliki wa Gereji, Wapenda Habari za Magari Hii ni Yetu Sote

    Ndugu Wajumbe, Miezi kadhaa nyuma nilileta Nyuzi fulani juu la Kiu yangu ya kukamilisha jambo hili ambalo kwa asilimia 90 limekamilika, na leo ninaleta habari njema na fursa ya kipekee kwenu nyote mnaohusika na sekta ya magari nchini! Tunayo furaha kubwa kuwatambulisha rasmi App ya Auto...
Back
Top Bottom