Kusema ukweli Dar es Salaam ni pazuri

Tlaatlaah

JF-Expert Member
May 18, 2023
8,170
11,572
Kwasabb kili kitu kinapatikana hapa, mathalani elimu, afya, biashara, usafiri n.k. hali ya hewa ni nzuri licha ya uzito wake wakati mwingine, kila mtaa umechangamka na utamaduni, staili na tabia yake ya maisha.

Haiwezikani eti kwa siku moja tu uzunguke dar nzima uimalize kama mikoa mingine, lahasha, itakuchukua zaidi ya wiki moja kuielewa dar ni ya tofauti sana na kwingineko 🐒

Sasa ni rasmi narudi nyumbani, kwa baba na mama. Asante sana wana dar es Salaam kwa ukarimu wenu, nimeishi vizuri sana nanyi na sasa naenda kuchangamana karibu zaidi na ndugu zangu, jamaa zangu marafiki zangu na wanainchi wangu huko nyumbani, mkoani kwa baba na mama mzazi.

Kwa muda mrefu nimekua nikiishi dar es salaam zaidi ya eneo ninalo paswa kuwako muda wote. Sasa ni rasmi, narudi nyumbani na nitakuwako huo 24/7 nyumbani , ofisini na field, nyote mnakaribishwa. Kunako majaaliwa baada ya 2025, Tutaonana tena wana dar es salaama.. 🐒

Thank you Dar es Salaam..
 
Kwasabb kili kitu kinapatikana hapa, mathalani elimu, afya, biashara, usafiri n.k..
hali ya hewa ni nzuri licha ya uzito wake wakati mwingine,
kila mtaa umechangamka na utamaduni, staili na tabia yake ya maisha.

haiwezikani eti kwa siku moja tu uzunguke dar nzima uimalize kama mikoa mingine, lahasha, itakuchukua zaidi ya wiki moja kuielewa dar ni ya tofauti sana na kwingineko 🐒

sasa ni rasmi narudi nyumbani, kwa baba na mama.
asante sana wana dar es Salaam kwa ukarimu wenu, nimeishi vizuri sana nanyi na sasa naenda kuchangamana karibu zaidi na ndugu zangu, jamaa zangu marafiki zangu na wanainchi wangu huko nyumbani, mkoani kwa baba na mama mzazi.

kwa muda mrefu nimekua nikiishi dar es salaam zaidi ya eneo ninalo paswa kuwako muda wote.
Sasa ni rasmi, narudi nyumbani na nitakuwako huo 24/7 nyumbani , ofisini na field, nyote mnakaribishwa..
kunako majaaliwa baada ya 2025, Tutaonana tena wana dar es salaama.. 🐒

Thank you Dar es Salaam..
Uzuri uko kwenye macho ya mtu.Dar ni Moja ya Miji siwezi kuishi na sioapendi.

Wenzenu huko Sudan wamefunga shule kukimbia joto na Mimi Sasa na joto ni hatuendani.
 
Kwasabb kili kitu kinapatikana hapa, mathalani elimu, afya, biashara, usafiri n.k..
hali ya hewa ni nzuri licha ya uzito wake wakati mwingine,
kila mtaa umechangamka na utamaduni, staili na tabia yake ya maisha.

haiwezikani eti kwa siku moja tu uzunguke dar nzima uimalize kama mikoa mingine, lahasha, itakuchukua zaidi ya wiki moja kuielewa dar ni ya tofauti sana na kwingineko 🐒

sasa ni rasmi narudi nyumbani, kwa baba na mama.
asante sana wana dar es Salaam kwa ukarimu wenu, nimeishi vizuri sana nanyi na sasa naenda kuchangamana karibu zaidi na ndugu zangu, jamaa zangu marafiki zangu na wanainchi wangu huko nyumbani, mkoani kwa baba na mama mzazi.

kwa muda mrefu nimekua nikiishi dar es salaam zaidi ya eneo ninalo paswa kuwako muda wote.
Sasa ni rasmi, narudi nyumbani na nitakuwako huo 24/7 nyumbani , ofisini na field, nyote mnakaribishwa..
kunako majaaliwa baada ya 2025, Tutaonana tena wana dar es salaama.. 🐒

Thank you Dar es Salaam..
Heee! Kumbe na wewe una kwenu! Sasa mbona miaka yote ulikuwa hauendi, shida ilikuwa nini, uchaguzi unakuja sasa kumemenoga! Hautashinda ng'o kwa mtindo huu wa kuonekana wakati w uchaguzi tu.
 
Heee! Kumbe na wewe una kwenu! Sasa mbona miaka yote ulikuwa hauendi, shida ilikuwa nini, uchaguzi unakuja sasa kumemenoga! Hautashinda ng'o kwa mtindo huu wa kuonekana wakati w uchaguzi tu.
nyumbani ni nyumbani tu,
nimeamua tu kwa hiari yangu mwenyewe kuwa karibu sana na ndugu zangu..

hayo ya kushinda ama laa ni neema na baraka za Mungu, wanainchi watakavyoongozwa na utashi wao wa kuamua nani awe kiongozi wao kwa wakati huo, na ndio demokrasia ilivyo...

uongozi watoka kwa Mungu..
 
Mada ipo aya ya mwisho, mada ni zaidi ya ilivyoandikwa.
mada ni kuwaaga ndugu zangu,
tumeishi vizuri sana, nimejifunza mengi sana, nimefarijika sana na ukarimu wenu hasa kuanzia maeneo ya tabata relini, aroma, shule, bima, magengeni, liwiti, barakuda, mangumi, sanene, chama, sheli, segerea mwisho na segerea yote kwa ujumla wake...

wacha tu nirudi nyumbani labda tutaonana siku zingine huko mbeleni, maana milima kwa milima ndio haikutani lakini binadamu tunakutana...

mniruhusu tu niende tafadhali...
na tuombeane kila lililo jema, maana hakuna jambo dogo wala jepesi...
 
nyumbani ni nyumbani tu,
nimeamua tu kwa hiari yangu mwenyewe kuwa karibu sana na ndugu zangu..

hayo ya kushinda ama laa ni neema na baraka za Mungu, wanainchi watakavyoongozwa na utashi wao wa kuamua nani awe kiongozi wao kwa wakati huo, na ndio demokrasia ilivyo...

uongozi watoka kwa Mungu..
Ukjaaliwa kushinda utahamia tena Dar mpaka uchaguzi mwingine kunanoga tena! Eti nyumbani ni nyumbani.
 
Kwasabb kili kitu kinapatikana hapa, mathalani elimu, afya, biashara, usafiri n.k..
hali ya hewa ni nzuri licha ya uzito wake wakati mwingine,
kila mtaa umechangamka na utamaduni, staili na tabia yake ya maisha.

haiwezikani eti kwa siku moja tu uzunguke dar nzima uimalize kama mikoa mingine, lahasha, itakuchukua zaidi ya wiki moja kuielewa dar ni ya tofauti sana na kwingineko 🐒

sasa ni rasmi narudi nyumbani, kwa baba na mama.
asante sana wana dar es Salaam kwa ukarimu wenu, nimeishi vizuri sana nanyi na sasa naenda kuchangamana karibu zaidi na ndugu zangu, jamaa zangu marafiki zangu na wanainchi wangu huko nyumbani, mkoani kwa baba na mama mzazi.

kwa muda mrefu nimekua nikiishi dar es salaam zaidi ya eneo ninalo paswa kuwako muda wote.
Sasa ni rasmi, narudi nyumbani na nitakuwako huo 24/7 nyumbani , ofisini na field, nyote mnakaribishwa..
kunako majaaliwa baada ya 2025, Tutaonana tena wana dar es salaama.. 🐒

Thank you Dar es Salaam..
Wasalimie Mama Isara, Mbulu.
 
Ukjaaliwa kushinda utahamia tena Dar mpaka uchaguzi mwingine kunanoga tena! Eti nyumbani ni nyumbani.
asante sana kwa well wish..

niruhusuni tu, nende nyumbani ndrugu zangu,
bilashaka na wao wanahitaji mchango wangu wa hali na mali katika maendeleo yao, si unajua tena kwenye wengi pana mengi na hapaharibiki neno kama humu Jf...
 
Back
Top Bottom