Mimi ni fundi wa magari, natafuta sehemu ya kufanyia kazi Dar es Salaam

Jun 21, 2021
29
23
Habari zenu wakuu,

Mimi ni fundi wa magari nina uzoefu wa takribani miaka nane sasa natafuta sehemu ya kufanyia kazi nipo dar es Salaam. Au kama kuna mtu atakua tayari kufungua ofisi kwaajili ya tire service na baadhi ya spare za magari nipo hapa.
 
Hebu kwanza niambie, nina Starlet yangu moja inakosa nguvu kwenye mlima,nikikagua fuel pump kwa kutoa pipe ya return na nikawasha gari nagundua kua pump ni nzima, so inaweza kua ni nini maana hua nafunga hata plug mpya lakini bado tatizo ni hilo hilo, nini nifanye kingine? kwa uzoefu wako wa ufundi.
 
Hebu kwanza niambie, nina Starlet yangu moja inakosa nguvu kwenye mlima,nikikagua fuel pump kwa kutoa pipe ya return na nikawasha gari nagundua kua pump ni nzima, so inaweza kua ni nini maana hua nafunga hata plug mpya lakini bado tatizo ni hilo hilo, nini nifanye kingine? kwa uzoefu wako wa ufundi
Hii huwa tunaita "kufa kufaana"

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
Hebu kwanza niambie, nina Starlet yangu moja inakosa nguvu kwenye mlima,nikikagua fuel pump kwa kutoa pipe ya return na nikawasha gari nagundua kua pump ni nzima, so inaweza kua ni nini maana hua nafunga hata plug mpya lakini bado tatizo ni hilo hilo, nini nifanye kingine? kwa uzoefu wako

Hebu kwanza niambie, nina Starlet yangu moja inakosa nguvu kwenye mlima,nikikagua fuel pump kwa kutoa pipe ya return na nikawasha gari nagundua kua pump ni nzima, so inaweza kua ni nini maana hua nafunga hata plug mpya lakini bado tatizo ni hilo hilo, nini nifanye kingine? kwa uzoefu wako wa ufundi
Gari kukosa nguvu inasababishwa na vitu hivi:

Fuel pump, huwenda ikawa inaleta mafuta ila sio kwa presha. Kingine kuna filter inakua kwenye fuel pump nalo liangalie maana kukiwa na uchafu ni shida hiyo cheki na fuel filter.

IGNITION COIL Angalia kama zote zinachoma kwa usahihi. Na plug unafunga za aina gani?
 
Gari kukosa nguvu inasababishwa na vitu hivi:

Fuel pump, huwenda ikawa inaleta mafuta ila sio kwa presha. Kingine kuna filter inakua kwenye fuel pump nalo liangalie maana kukiwa na uchafu ni shida hiyo cheki na fuel filter.

IGNITION COIL Angalia kama zote zinachoma kwa usahihi. Na plug unafunga za aina gani?
Ndiyo ungesema nifunge plug za aina gani? By the way ni Denso yenye kichwa kimoja

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nakubali brother vipi ukiachana na shughuli nzima za tire kwa upande wa engine, transmission na umeme vipi?
 
Habari zenu wakuu,

Mimi ni fundi wa magari nina uzoefu wa takribani miaka nane sasa natafuta sehemu ya kufanyia kazi nipo dar es Salaam. Au kama kuna mtu atakua tayari kufungua ofisi kwaajili ya tire service na baadhi ya spare za magari nipo hapa.
KUNA KAZI YA KUFUNDISHA WANAFUNZI WA UFUNDI MAGARI LEVEL 1-3
TUWASILIANE 0717157640
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom