JanguKamaJangu
JF-Expert Member
- Feb 7, 2022
- 2,308
- 5,460
Stori ya kushangaza nchini Rwanda imetokea, Bi harusi aliyetambulika kwa jina la Nadine anadaiwa kurogwa na Ex wake ambaye walipendana kwa muda mrefu na ndiye aliyemsomesha.
Inaelezwa kuwa jamaa alikuwa akimgharamia kila mahitaji yake yote, alimnunulia gari, viwanja ila mwishowe Nadine akamuacha baada ya kupata mwanaume mwingine.
Kilichotokea ni kuwa siku ya ndoa yake na mwanaume mwingine Nadine akajikuta akishindwa kupiga hatua baada ya kuelezwa kuwa alikuwa akiona shimo mbele yake.
Ghafla akaanza kupiga kelele kwa kile alichodai anaona nyoka na shimo kubwa la kutisha.
Ilikuwa ni kilio kwa familia yake siku hiyo na kwa Bwana Harusi mpya. Harusi ilikuwa chungu kwao.
Watu waliokuwa wanalifahamu penzi hilo la zamani la Nadine na ex wake wanaeleza kuwa huenda Ex huyo ndiye aliyefanya mambo kutengeneza mauzauza hayo.
Duuuu! Kumbe Mwanamke anauma ehh!
Inaelezwa kuwa jamaa alikuwa akimgharamia kila mahitaji yake yote, alimnunulia gari, viwanja ila mwishowe Nadine akamuacha baada ya kupata mwanaume mwingine.
Kilichotokea ni kuwa siku ya ndoa yake na mwanaume mwingine Nadine akajikuta akishindwa kupiga hatua baada ya kuelezwa kuwa alikuwa akiona shimo mbele yake.
Ghafla akaanza kupiga kelele kwa kile alichodai anaona nyoka na shimo kubwa la kutisha.
Ilikuwa ni kilio kwa familia yake siku hiyo na kwa Bwana Harusi mpya. Harusi ilikuwa chungu kwao.
Watu waliokuwa wanalifahamu penzi hilo la zamani la Nadine na ex wake wanaeleza kuwa huenda Ex huyo ndiye aliyefanya mambo kutengeneza mauzauza hayo.
Duuuu! Kumbe Mwanamke anauma ehh!