DUBULIHASA
JF-Expert Member
- Nov 26, 2016
- 5,962
- 11,433
KALAPINA naye ni K
Sure.... Hawawezi kuwa na kigezo cha kuudaka!!Huu wimbo basata watapata tabu sana kuuelewa
bangi + stress za kuogopa kuichana serikaliNapata shida sana kufikilia wasanii wasi siku hizi wanatumiaa kiuongo ganii kwa ajiri ya kifikilia na kutungioo nyimboo SASA K ndooo nini msanii lete maudhuii bwanaa .zamani ....unasikia "wakatii wa ujana wangu mimi baba yenu ...shatii sh.3 unavaaa ..."watu walikuwa wanafikiliaa hizo hizoo
K ni KManfongo atawapata wengi sana kwa staili hii...nimesikia biti tuu nikakosa hamu ya kuendelea kusikiliza,ndo unahusu nini vile jamani
raiya=raia
kwahio leo ukimuona Rose muhando kageukia kisingeli utachekelea tu kwa vile ni muziki wa Tanzania?
k ni k
katika k .
ingia kati kama una k
sasambua kama una k
nasubiria kuona wanaume wakisasambua k
anamaana gani labda subiri watu wafasihi watadadavua..
watakuwa na maana hiyo mkuu sasa sasambua kama una k maana yake ni nini? mi nasubiria videoHivi k ina maana kile kitumbua sio? Hawa wanalazimisha kiki tu