Snipes
JF-Expert Member
- Jul 2, 2013
- 9,224
- 16,905
Hakuna Watu Ambao Huwa Nawaona Wapumbavu Kama Watu Wanaobishana Kuhusu Nani Anafanya Hip Hop - Akili Za KijingaMkuu si kila Mtu anaweza kuwa mwanasheria au daktari. Muziki ni taaluma pia mbali na kuwa sehemu ya sanaa.
Natambua kila Mtu anapenda kubadika. Ila aina ya Mabadiliko ndio hoja ya msingi.
Najua hata NAS na Jay Z waliisha badilika, ila sijawahi kusikia wamebadilika mpaka kutoka nje ya misingi ya aina ya Muziki wanaoufanya.
Mbaya zaidi ni aina ya mashabiki waliopo hapa nyumbani, kukutafuna na kukutema kama bazooka ni dk mbili tu.
Mtu yupo radhi apoteze mashabiki wake wa ukweli aliokuwanao muda mrefu, vile kasikia flani ametoka na single flani akasepa na kijiji chote cha mashabiki.
Mbona wakina Mzee King Kiki mpaka leo wameamini katika aina ya muziki wanaoufanya na bado wanamashabiki wao wa toka kitambo. Na heshima ya muziki wao ipo pale pale. Au wenyewe hawayajui hayo mabadiliko??
muziki wa hiphop ni utamaduni lakini sio wa nchi yeyote bali ni utamaduni wa wana hiphop wote duniani
mwenyewe naitafu hyo KUna K
Ngoja soko la hip hop likifa US ndiyo utajuaMsaga sumu na man fiongo, naona wanazidi kuwaamisha wasanii wa bongo.
Mafanikio ya haraka daima huwa hayadumu.
Ngoja atafute nanachokitafuta huko kwenye singeli, atakipita.
Natahidi kuwaza sijui kuna siku NAS au Jay Z watakuja kuimba blues.....?
kushnei tena romaa
Roma mpaka kaimba na Snura gemu ngumu nakumbuka aliojiwa na EATV lini atatoa ngoma na shishi baby alikasilika sana na kutoka studio soko lilimuacha nn
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]huu wimbo hauna tofauti na chura aisee..
bangi mbaya sana inaonekana kuna lines walizifikiria wakazipiga chini..
kukojoa k
na k*nya k pia
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
singeli tumecpy wapi?muziki wa Tanzania ni ule wa asili hizi nyingine tumekopi
Lazima abadili gia siunaona fongo man bonge la atar kwa sasanasubiri kollabo yake na man fongo soon