hii idea itakua alisikia hilo chenja ndo ikamjiaNani kapitia JKT kama mimi....
Kuna chenja flani inaitwa K ni K
"K ni K we...kondom salama kondom...ah tutumie we...kondom salama kondom....K kubwa we...kondom salama kondom....K ndogo we...kondom salama kondom...
Msaga sumu na man fiongo, naona wanazidi kuwaamisha wasanii wa bongo.imekaa kama kisingeli,inachezeka ila ujumbe 0
Basi akauze mitumba. Tena hawamu hii mtu unakosa uhuru wa kuimba. Amfate Mpoto amuelekeze njiahana uhuru wa kuimba alivyovizoea
Hahahii idea itakua alisikia hilo chenja ndo ikamjia
LutindiRoma awahishwe mirembe au pale korogwe kuna kakituo! Wimbo gani huu![emoji57] [emoji57] [emoji57] [emoji57]