Bhagdad ft Roma ft Snura "k ni k"

Bhagdad ft Roma ft Snura "k ni k"

Wengi humu mmemponda Roma mnasahau kua kashirikishwa.. Yan sisi Watanzania bana ndio maana ccm wanatuona kama mafala .. Hatufuatilii vitu kwa umakini
 
Wengi humu mmemponda Roma mnasahau kua kashirikishwa.. Yan sisi Watanzania bana ndio maana ccm wanatuona kama mafala .. Hatufuatilii vitu kwa umakini
We ndo ccm wanakuona fala
Wimbo umeandikwa Baghdad and Roma ft. Snura
Sasa hapo nani mmiliki wa wimbo kama sio Baghdad na Roma
Then aliyeshirikishwa ni Snura
Kama bado unaendelea kubisha ccm watakutawala milele
Ingia YouTube uangalie then urudi hapa
 
Wote walio comment ni K[emoji53][emoji53][emoji53][emoji53][emoji53]
 
Sikujua kana roma ni bwege kiasi hiki, hata kama ni kushirikishwa hii hapana
 
Haukai kama wimbo ambao Roma angeimba. Inawezekana kwa mtazamo wake ametoa comedic song kwa style mpya ya 'singeli' lakini naamini he could have done better than this.

hii ni kwa ajili ya fans wake wanaopenda mziki wa aina hii.
 
Back
Top Bottom