Bhagdad ft Roma ft Snura "k ni k"

Bhagdad ft Roma ft Snura "k ni k"

Basi akauze mitumba. Tena hawamu hii mtu unakosa uhuru wa kuimba. Amfate Mpoto amuelekeze njia
alizoea kuimba siasa tokea viva roma kakimbia siasa akipotea itamchukua muda kurudi
 
Pambafu zao kabisa, nimepoteza bando zangu kisa wimbo wa k
 
kwanini mnakua negative sana?

mnataka mtu akomae sehemu moja tu amekua mti??
Mkuu si kila Mtu anaweza kuwa mwanasheria au daktari. Muziki ni taaluma pia mbali na kuwa sehemu ya sanaa.
Natambua kila Mtu anapenda kubadika. Ila aina ya Mabadiliko ndio hoja ya msingi.
Najua hata NAS na Jay Z waliisha badilika, ila sijawahi kusikia wamebadilika mpaka kutoka nje ya misingi ya aina ya Muziki wanaoufanya.
Mbaya zaidi ni aina ya mashabiki waliopo hapa nyumbani, kukutafuna na kukutema kama bazooka ni dk mbili tu.
Mtu yupo radhi apoteze mashabiki wake wa ukweli aliokuwanao muda mrefu, vile kasikia flani ametoka na single flani akasepa na kijiji chote cha mashabiki.

Mbona wakina Mzee King Kiki mpaka leo wameamini katika aina ya muziki wanaoufanya na bado wanamashabiki wao wa toka kitambo. Na heshima ya muziki wao ipo pale pale. Au wenyewe hawayajui hayo mabadiliko??
 
Mkuu si kila Mtu anaweza kuwa mwanasheria au daktari. Muziki ni taaluma pia mbali na kuwa sehemu ya sanaa.
Natambua kila Mtu anapenda kubadika. Ila aina ya Mabadiliko ndio hoja ya msingi.
Najua hata NAS na Jay Z waliisha badilika, ila sijawahi kusikia wamebadilika mpaka kutoka nje ya misingi ya aina ya Muziki wanaoufanya.
Mbaya zaidi ni aina ya mashabiki waliopo hapa nyumbani, kukutafuna na kukutema kama bazooka ni dk mbili tu.
Mtu yupo radhi apoteze mashabiki wake wa ukweli aliokuwanao muda mrefu, vile kasikia flani ametoka na single flani akasepa na kijiji chote cha mashabiki.

Mbona wakina Mzee King Kiki mpaka leo wameamini katika aina ya muziki wanaoufanya na bado wanamashabiki wao wa toka kitambo. Na heshima ya muziki wao ipo pale pale. Au wenyewe hawayajui hayo mabadiliko??

unamfahamu Drake alipoanzia hadi sasa alipofika?

Je umeshawahi kununua albam ya Roma?
 
tokea sikati tamaa,nishike mkono...darasa amebadilika lakini sio kama alivyobadilika roma
"amekula lakini hajashiba " ila roma ndie aliyeshiba kumbuka huo wimbo ameshirikishwa kama unasikiliza humo ndani flow zake zinasikika ila zinabebwa na biti
Je prof. Jay nae hafati culture za hip hop ?
Wacha wazifate hela huko huko juu
 
"amekula lakini hajashiba " ila roma ndie aliyeshiba kumbuka huo wimbo ameshirikishwa kama unasikiliza humo ndani flow zake zinasikika ila zinabebwa na biti
Je prof. Jay nae hafati culture za hip hop ?
Wacha wazifate hela huko huko juu
yote hii ni sababu ya kisingeli
sio muda utamsikia diamond nae kaachia singeli
 
Back
Top Bottom