kambagasa
JF-Expert Member
- Aug 18, 2014
- 2,271
- 1,809
Hapa nilichojifunza ni ugomvi tu uliopo kati ya mleta mada na huyo jamaa. Jamaa kamega tunda kaona sio dili dada anakuja kasi jamiiforum. Hii haina tofauti na yule aliyeuwawa SAUTI Mwanza kwa kupigiwa yowe baada ya kumfuma girlfriend wake akiwa na sms za jamaa. Mimi tasubiri kwanza huenda jamaa akaja kujibu. Hadi kakuvisha pete na mapenzi yetu ya kuiga umagharibi maana yake ashatembea sana na wewe dada. Mimi simo