Beware: Tapeli Tapeli

Beware: Tapeli Tapeli

Asee kama sio kulinda heshima ya watu ningekutajia waliotapeliwa kwa majina yao.
Preta nimeweka hapa ili kukuepusha na utapeli. kwa bahati mbaya au nzuri ni mke wa mtu sasa. Hayo ni ya 2013 nimeweka hapa kwa kuwa bado anaendelea na utapeli.
Usijudge kama huna uhakika na hisia zako. Nilijua uko grown kumbe holaa


Mie siyo Preta alafu nimejaribu kuangalia pande zote mbili sija judge mie mwenyewe kama binadamu nina amini sina immunity na mambo yanayowatokea wenzanu so I can't judge and I don't judge get me right lady
 
Huyo jamaa mbona anaonekana mporipori....unawezaje kumpa hela mporipori kama huyo

Benny;
Weye mwone mporipori, ila jamaa anaonekana anajua kusomesha mabibi. Hata huko aliko, lazima anafundisha wengine kutoa fedha.
Pole nyingi zimwendee huyu mdada, mpaka kafikia kuandika humu, uchungu ulimzidia. Dah! Yaonesha kwa kipindi kifupi alimfumua sana huyu dada. Pole lakini
 
Asee kama sio kulinda heshima ya watu ningekutajia waliotapeliwa kwa majina yao.
Preta nimeweka hapa ili kukuepusha na utapeli. kwa bahati mbaya au nzuri ni mke wa mtu sasa. Hayo ni ya 2013 nimeweka hapa kwa kuwa bado anaendelea na utapeli.
Usijudge kama huna uhakika na hisia zako. Nilijua uko grown kumbe holaa

Duh......sasa kama ni ya tokea 2013......si unge mind your own business......miaka 3 imepita bado unamfuatilia......hiyo ndio inazidi kutupa wasiwasi zaidi......
 
Inawezekana dada yupo desperate kwa kiwango cha juu labda.......

Ni kama ulikuwa kichwani mwangu!

Wiki moja haiingii kabisa akilini mwangu aisee.

Hata kama walikuwa wanajuana tokea sijui O-level....kama walikuwa hawana uhusiano wa kueleweka halafu wakaanza uhusiano na ndani ya wiki moja njemba inavisha pete....hmm....hiyo ni bonge la red flag!
 
Kumbe akina dada nuksi za kutokuolewa kwa wkt mnazitafutaga wenyewe kwa kukurupuka alafu tunaanza kumsingizia shetan wa watu,
 
But still...ndani ya wiki moja is a major red flag!

Don't you think?
nyani niliandika mahusiani ambayo sikuyaelwa. Kwamba kuvishwa pete kwa muda huo Sikukubaliana nayo ndio maana sikuyaelewa. pia sijasema kama nilikubali kuvaa.
Niko busy kaka. Badae nitajibu nikipata muda.
 
Mie siyo Preta alafu nimejaribu kuangalia pande zote mbili sija judge mie mwenyewe kama binadamu nina amini sina immunity na mambo yanayowatokea wenzanu so I can't judge and I don't judge get me right lady
Najua wewe sio preta. sikuona haja ya kujibu Mara mbili ndio maana nilimuita kwa hapa
 
nyani niliandika mahusiani ambayo sikuyaelwa. Kwamba kuvishwa pete kwa muda huo Sikukubaliana nayo ndio maana sikuyaelewa. pia sijasema kama nilikubali kuvaa.
Niko busy kaka. Badae nitajibu nikipata muda.

Unajichanganya mwenyewe sasa.

Unasema ulivishwa pete ndani ya wiki moja halafu tena unakuja kusema kuwa hukusema kama ulikubali kuvaa? WTF!

Hahahaa.....aisee....isije ikawa mna mabifu yenu huko na umeamua tu kuja kumchafua mwenzio hapa maana unaaza kutokueleweka sasa.

Stori yako haijanyooka kabisa.
 
Duh......sasa kama ni ya tokea 2013......si unge mind your own business......miaka 3 imepita bado unamfuatilia......hiyo ndio inazidi kutupa wasiwasi zaidi......
Sasa unaona sawa nimuache aendelee kutapeli wengine? endelea kupata wasiwasi mama hii no nchi huru na raia wako huru kupata wasiwasi.
 
Tatizo lenu mnapapatikia wanaume wanaoishi maisha ya Bongomuvi hilo ndo kosa lenu mtu kaja na gia ya kukuoa na wewe mbio mbio unampeleka kwa wazazi jaman embu badiliken dada zangu hii yote leo usingekuja kutoa shutuma humu km urafiki wenu usingekuwa na mahusiano wa kimapenzi
 
Unajichanganya mwenyewe sasa.

Unasema ulivishwa pete ndani ya wiki moja halafu tena unakuja kusema kuwa hukusema kama ulikubali kuvaa? WTF!

Hahahaa.....aisee....isije ikawa mna mabifu yenu huko na umeamua tu kuja kumchafua mwenzio hapa maana unaaza kutokueleweka sasa.

Stori yako haijanyooka kabisa.
Nenda facebook kisha angalia group ya wanafunzi walisoma Russia ndipo utaona ushuhuda wa watu mbalimbali waliotapeliwa. Ninamuogopa Mungu ambae wewe humiamini siwezi kumsimgizia mtu. Kwaheri.
 
Search
soyuz alumn ndipo mutaona kama shida ni mimi au yeye. Mtoto akililia wembe anapewa. ukija kumukata ndipo atakuja kujua kama unakataa au haukati. Kwaherini.
 
Sasa unaona sawa nimuache aendelee kutapeli wengine? endelea kupata wasiwasi mama hii no nchi huru na raia wako huru kupata wasiwasi.

Lakini shosti.....mtu mmeachana 2013.....hii 2016 hata akiuwa watu......wewe inakudhuru vipi......?......uliepo nae kwa sasa akisikia unafuatilia mambo ya ex.......huoni kama italeta sintofahamu......?......au mimi ndio nakua mgumu kuelewa.......?.....
 
Jamani ila tuwe fair kweli... Mtu kaleta habari ya mtu tapeli, yani bidada alitaka kutapeliwa sema kashtuka ( madai yake) na anatualert tuwe makini! watu mnaanza kumhoji kama yuko mahakamani vile....kama mtu unamuuliza swali basi uliza kiustarabu na kiupole...anahitaji relief mwenzetu.
 
Search
soyuz alumn ndipo mutaona kama shida ni mimi au yeye. Mtoto akililia wembe anapewa. ukija kumukata ndipo atakuja kujua kama unakataa au haukati. Kwaherini.
Ushauri wa Bure
kwa mtazamo wangu umeshavurugwa una stress zingatia sana ibada ikiwezekana km ni Muslim fanya dua,km Christian nenda ktk maombi ili akili ikae sawa alafu ukajipange upya km bado unahitaji la kuolewa ila km utakiuka ushaur wangu utaendelea kuvalishwa pete za uchumba hivyo hivyo uku watu wanajilia tunda na wewe kuishia kulalamika ktk mitandao
 
Back
Top Bottom