Beware: Tapeli Tapeli

Beware: Tapeli Tapeli

Duh......sasa kama ni ya tokea 2013......si unge mind your own business......miaka 3 imepita bado unamfuatilia......hiyo ndio inazidi kutupa wasiwasi zaidi......
Katafunwa huyu. Ana uchungu wa kutafunwa kwa pete ya elfu 10 ya kuchonga kwa sonara. Awe mpole tu hata alie vipi haibadilishi chochote.
 
nyani niliandika mahusiani ambayo sikuyaelwa. Kwamba kuvishwa pete kwa muda huo Sikukubaliana nayo ndio maana sikuyaelewa. pia sijasema kama nilikubali kuvaa.
Niko busy kaka. Badae nitajibu nikipata muda.
Wee ni muongo muongo....huko mwanzo ulisema alikuvisha pete huku mbele unasema hukukubaliana. Kaa kimya unajifunua ulivyo muongo.
 
hata mimi ninashangaa. taifa limepoteza kichwa cha maana maana hata baba yake ni mtu wa kutegemewa (sijui kama bado yuko hai). Top 3 ya darasa kwa olevel alikuwa hakosi. high school ndio alipata marks mbaya (div 3 mbaya hadi kuamua kwenda russia).
....vichwa havisomi Hedaru wewe!..alikuwa mwenye chongo miongoni mwa vipofu!
 
hata mimi ninashangaa. taifa limepoteza kichwa cha maana maana hata baba yake ni mtu wa kutegemewa (sijui kama bado yuko hai). Top 3 ya darasa kwa olevel alikuwa hakosi. high school ndio alipata marks mbaya (div 3 mbaya hadi kuamua kwenda russia).
unasema baba yake alikuwa mtu wa maana asije kuwa mtoto wa Kitilya yule aliyekuwa boss wa TRA ambaye juzijuzi alihusika kuiibia serikali kupitia udalali wa stanibic benki kama ni huyo wizi utakuwa ni wa kurithi
 
image.jpeg
image.jpeg
 
Asante kwa taarifa ila jamaa ni mchumba sana huyu ngoja siku aingie mikononi mwangu atajuta
 
Search
soyuz alumn ndipo mutaona kama shida ni mimi au yeye. Mtoto akililia wembe anapewa. ukija kumukata ndipo atakuja kujua kama unakataa au haukati. Kwaherini.
....hahahahahahaha...hiloooooooooooo!!!.,watu wabaya sana....wamekupa za uso hadi umekimbia blalfuu!
 
Nenda facebook kisha angalia group ya wanafunzi walisoma Russia ndipo utaona ushuhuda wa watu mbalimbali waliotapeliwa. Ninamuogopa Mungu ambae wewe humiamini siwezi kumsimgizia mtu. Kwaheri.
Lakini wewe mwenyewe katika uzi wako umeandika kwamba alikuvisha Pete. Ujue JF ni home of great thinkers. Great analysers. Watu wanasoma mada na kuichambua. Unafahamu hilo?
 
Damn!! Picha Ya Jamaa Na Story "Ake" Haviendani!!! Anyway, Pole Nadhani La Muhimu Ushamjua " Jamaa Yako" In Mtu Wa Aina Gani.
 
Hapo ni Russia kwenye student room ( picha imewekwa facebook kwa kumbukumbu). wewe room yangu haiwezi kuwa huo uchochoro
Samahani lakini
Huyo Eneza Kitlya ni kabila gani?
 
Huyu dada kaongea ukweli mtupu. Katika mada yake hakudanganya popote pale. Amekuja kudanganya kwenye majibu yake tu pale alipodai hakukubali kuvaa Pete pale ndo alipoongea uongo kwa kukanusha ukweli. Pia anaonekana kulipiza kisasi baada ya kuvalishwa Pete kitapeli na kukubali kuzini na jamaa kisha jamaa akaingia mitini. Ninahisi jamaa alifanikiwa kumtapeli kiasi fulani cha pesa ukizingatia dada zetu hawa akishakuweka moyoni akakuamini haoni tabu kukupa hata gari lake ukapigie misele. Mwanamke akipenda sana huwa hivyo. Huyu walishazini ukizingatia walijuana tangu o level so Mwanamke hakuona haja ya kumchunguza sana mtu amjuaye. Ninashawishika kuhisi kwamba hisia zangu ziko sahihi pasipo shaka
 
nakadori una kithibitisho?!, isije ikawa km yule wa saut ameitwa mwiz akawawa rb please
 
Back
Top Bottom