mtz daima
JF-Expert Member
- Apr 15, 2015
- 1,561
- 579
Aisee Huyu jamaa ni shiiidah imagine miaka mi5 ya utapeliDuh kumbe jamaa kakubuhu kuliza watu???
Aisee Huyu jamaa ni shiiidah imagine miaka mi5 ya utapeliDuh kumbe jamaa kakubuhu kuliza watu???
Mi nikienda nae out lazima nikupitie.......ili ukiona ananitapeli umstopishe.......sawa eeeh......Hawa wabishi waache mpaka awatapeli waje na uzi humu....
Hahahaha na kama vipi tumtapeli yeyeMi nikienda nae out lazima nikupitie.......ili ukiona ananitapeli umstopishe.......sawa eeeh......
Basi tena huyo hawezi kuacha...Aisee Huyu jamaa ni shiiidah imagine miaka mi5 ya utapeli
Hahahaha na kama vipi tumtapeli yeye
Ni Siri ya ndani ila tunda lazima alilifaidi. Lakini KWA lady anayejitambua lazima useme hakuona ndani.Yule shida yake ni hela. Hana shida na tunDa. Anakuja kama mtu mwema anayefwata maadili.
Kifupi hakuonja tunda.
Me sina hiyo kutamani waliosoma nje maana hata mimi nimesoma nchi zinazoeleweka (UK)
Wewe unadhani mabinti waliosoma Na hasa masupastaa wa JF waume zao ni akinanani? Ni sie waporipori tu. Ndo maana comments zao dhidi ya wanaume ni mbofumbofu tu. Hii ndiyo raha zetu tunaotunzwa na akinamama ila sticks zake usiombeHuyo jamaa mbona anaonekana mporipori....unawezaje kumpa hela mporipori kama huyo
Huyo jamaa mbona anaonekana mporipori....unawezaje kumpa hela mporipori kama huyo
mwambie huyo kaka tapeli aje nimfundishe kufuga mbuzi, sio anakaa anawatafuneni mapapuchi yenu na kuwaumiza mioyo na kwa revenge mnamzushia utapelinimeziweka kwa mara ya 3
Haaa haaa haaa...asee wewemwambie huyo kaka tapeli aje nimfundishe kufuga mbuzi, sio anakaa anawatafuneni mapapuchi yenu na kuwaumiza mioyo na kwa revenge mnamzushia utapeli
Yaani nyie mtu mnanivunja mbavuu....watu wanataka kutathmini..Hebu weka na picha ya room yako tuone
Yaani nyie watu mnanivunja mbavuu....watu mnataka kutathmini..
Happy new month witnessj, Tarehe 10 itakuwa birthday yangu, nasubiri keki kutoka kwako, hata ukiniletea rice cake (kitumbua) ntashukuru sanaHaaa haaa haaa...asee wewe
Halafu usisahau, mi sio mtoto wa kupandishwa kwenye baby walker, mi mlugaluga kama kaka tapeli, usinitafutie pampas, nitafutie nepi na visepe vya kanga, sibebwi kwenye vitoroli nabebwa mgongoni na mbeleko juuWewe tena....sherehe takufanyia serena hotel, get ready!