Nahisi ukweli upo wazi.
Kama JF inakuwa sasa mtu na mwenzie wameshindwana huko anakuja na hadithi za ajabu kama hizi hovyooo
Yaania Madada woote walio comment kwenye post hii,hakuna hata mmoja anaekubaliananae
Na kila mmoja ameonyesha kwamba kuliuwa na mahusiano mpaka yaliyofikia kuvikwa Pete ya Chukuchuku
Hapa itakuwa umepigwa chini,jamaa amechukua dem mwingine ndio hasira zako unaleta huku na huku pia tunakuzingua vile vile kwamba post yako inaboa.
Preta mdada mwenzio amekuchana live tena kwa kukustahi kimtindo ila unapanic.
Waliotapeliwa wao kimyaaa,ila wewe inakuuma zaidi maana umetapeliwa kimapenzi.Na mbaya zaidi umekurupuka kuandika,Pete ya uchumba in one week,aiseee we unaona wooote humu watoto
Mshahara wa dhambi ni mauti,kuwa mpoleeeee,Jamaa angekuwa tapeli angekuwa ameishakamatwa,maana hakimbii mtu na inaonekana anapatikana kiurahisiii
Malizaneni huko msitumaliziii wino.
Wewe na Apologize Lady muuza maziwa woote wale wale