Bernard Membe rasmi asamehewa na kurudi CCM

Bernard Membe rasmi asamehewa na kurudi CCM

Sijui Musiba, ally Happy, polepole, bashiru Wana hali gani huko walipo.
 
Halmashauri Kuu ya CCM Taifa imemsamehe na kumrudishia uanachama wa CCM aliyekuwa Waziri wa Mambo ya Nje, Bernard Camilius Membe aliyekuwa amefukuzwa ndani ya chama hicho...
Naona wana undo kila jambo la mwendazake. Safi sana
 
Tatizo sio kuanzisha chama, bali watapata support ya vyombo vya dola? Wanaccm wote wanategemea vyombo vya dola kufanya siasa, ndio maana wakitoka nje ya ccm wanapata shida sana.
Kwamba hata kupata wanachama na mashabiki pia hutegemea polisi?
 
Hata wauza madawa ya kulevya wametolewa - mama kaagiza wachunguzwe "wakiwa huru" wasije wakaharibu watoto wetu.
Kuna maagizo mengine unasikiliza, unatikisa kichwa unazima TV.
Hivi mama anajua nguvu za wauza madawa ya kulevya?
Kuchunguza kwa zaidi ya miaka mitatu ni uchunguzi wa aina gani huo? Kama sio umbumbumbu kiwango cha upoyoyo.
 
Membe akiwa ACT alisema ukirudi ilikofukuzwa ni KUJIDHALILISHA. Akimaanisha yeye kurudi CCM atakuwa anajidhalilisha!!
 
Back
Top Bottom