Tindo
Platinum Member
- Sep 28, 2011
- 71,141
- 127,096
Kwamba hata kupata wanachama na mashabiki pia hutegemea polisi?
Waambie waanzishe ujue kuwa umma haukuwa upande wao na dhalimu. Usishangae wakawa wakwanza kudai katiba mpya.
Kwamba hata kupata wanachama na mashabiki pia hutegemea polisi?
Hatimaye chama kimerudi kwa wenyewe.
Karibu nyumbani kachero Membe.
Kidumu chama cha mapinduzi.
Hao hao walio shangilia wakati wanamfukuza,
NDIO HAO HAO TENA WANA MSHANGILIA AKIWA ANA REJEA CCM.
[emoji1][emoji1][emoji16][emoji16][emoji2960][emoji123][emoji123][emoji123][emoji123]
Bongo sihami.
Ingawa sikuwa shabiki sana wa JPM.... Lakini yanayoendelea kwa sasa ni usaliti kwa Mwendazake wa wazi.
Ukichunguza sana siasa Ndio zilivyo karibu sehemu nyingi Duniani!chama kinakuwa mali ya mtu flani km kile cha vidole viwili✌
Sasa safu nzima ni yake duh! Maisha ni safar ndefu.
Majaliwa sijamsikia mdaa.
Huyu membe kweli ni kachero mmbobevu tusimdharau. Alipigana nae kiir akashinda sasa JPM Yupo wapi???Safi sana ni wakati wa siasa za kistaarabu.
Hawa sio wenye chama bali ni majambazi yanaoitumia CCM kwa manufaa yao binafsi.Wenye Chama chao taratiiiibu wanarudi
unaweka Mtu ndani miaka 10 bila kesi,,,why ,how?kama hakuna ushahidi waachiwe tuHata wauza madawa ya kulevya wametolewa - mama kaagiza wachunguzwe "wakiwa huru" wasije wakaharibu watoto wetu.
Kuna maagizo mengine unasikiliza, unatikisa kichwa unazima TV.
Hivi mama anajua nguvu za wauza madawa ya kulevya?
Kwahiyo Membe kwakiwa ni kachero mbobevu hatakufa?Huyu membe kweli ni kachero mmbobevu tusimdharau. Alipigana nae kiir akashinda sasa JPM Yupo wapi???
Watoto wa mjini wamerudi
Unazungumzia ule umma uliyokwenda kwenye mazishi ya mwamba?Waambie waanzishe ujue kuwa umma haukuwa upande wao na dhalimu. Usishangae wakawa wakwanza kudai katiba mpya.
Safi sana ni wakati wa siasa za kistaarabu.
Roho za visasi zimewatawala na kushika mioyo yao.. ...hapa ndipo shida ilipoHaya majamaa nakumbuka yalivyokuwa yanashangilia na kumpongeza mwendazake kumfuta uanachama huyu mwamba. Siamini leo hii yanashangilia kurudishwa kwake huku yakimsifia mama anaupiga mwingi.
Safi sana ni wakati wa siasa za kistaarabu.
Hicho kikao cha Halmashauri Kuu ya CCM Taifa kimekaa lini na kufanya maamuzi hayo!? Katibu wa Itikadi na Uenezi, Shaka ameshaujulisha umma? Chanzo cha taarifa hii ni kipi?Halmashauri Kuu ya CCM Taifa imemsamehe na kumrudishia uanachama wa CCM aliyekuwa Waziri wa Mambo ya Nje, Bernard Camilius Membe aliyekuwa amefukuzwa ndani ya chama hicho.
Pia soma
- Abdulrahman Kinana asamehewa, Bernard Membe afukuzwa rasmi CCM
- Bernard Membe: Walionifukuza CCM wapo wapi? 12 Oktoba 2021 Kazi iendelee
- Natabiri kuna siku Bernard Membe atarudi CCM
- Bernard Membe: Kuna umuhimu wa kufanya vetting kwa viongozi wetu kuhusu uraia na afya zao
- Bashiru Vs Membe: CCM yatoa msimamo wake kuhusu suala hilo
- Membe: Kuna CCM Mpya na CCM ya Zamani
Usaliti gani? Ye nani? Alikuwa Mungu?Ingawa sikuwa shabiki sana wa JPM.... Lakini yanayoendelea kwa sasa ni usaliti kwa Mwendazake wa wazi.
Unazungumzia ule umma uliyokwenda kwenye mazishi ya mwamba?