ras jeff kapita
JF-Expert Member
- Jan 4, 2015
- 22,729
- 34,830
Amewatangulia ufahamu.....Naye akabinywa na kundi la Msoga, saa hii yuko ahera madukani.
sasa hv jiwe anajua maana halisi ya kifo bado wao
Amewatangulia ufahamu.....Naye akabinywa na kundi la Msoga, saa hii yuko ahera madukani.
Amewatangulia ufahamu.....
sasa hv jiwe anajua maana halisi ya kifo bado wao
Tanzania hamnaga upinzani hata CDM wenyewe siwaamini........
siku hizi nimeacha kufatilia siasa nagonga beer tu......
Anakula ukuu wa idara nyeti ileAlambe ubalozi akatulie mahali.
Wewe mwenyewe unafataWho cares?
kutesa kwa zamu, zamu ya naniii leooo...'Wenye Chama chao taratiiiibu wanarudi
Kumekuchaaaaaaaaaaaaah.
Sasa unafikiri hata baada ya jiwe kusepa wao wanafaidika na kipi!!?Who cares?
Yule J K ni mwamba.Alipo ambiwa na Mnyika kuwa yeye ni dhaifu alimwacha tuu.JK sio mtu wa small deals ni mtu wa big deals.😀😀😀😀😀
Wewe sikuhizi umekuwa muunga juhudi? 😄😄Who cares?
Sukuma gang na MATAGA kama wana akili, wangeanzisha chama chao mapema kwa ajili ya 2025!
Wakiupuuza huu ushauri wangu, basi wengi watakufa kwa presha! Maana hakuna namna.
😀😀😀😀😀😀Viwavi jeshi wamerudi rasmi. Chukua Chako Mapema!
Lini zimewahi kuwa za kistaarabu?Safi sana ni wakati wa siasa za kistaarabu.
Wewe mwenyewe unafata
Yeye jiwe alivyokuwa anaua alikuwa anafaidika na nini?Sasa unafikiri hata baada ya jiwe kusepa wao wanafaidika na kipi!!?
yote ni yale yale tu