chuma cha mjerumani
JF-Expert Member
- Dec 4, 2013
- 12,289
- 25,680
Watu na nchi yao sisi tubaki watazamaji tuu.Yaani safu imekamilika
Watu na nchi yao sisi tubaki watazamaji tuu.Yaani safu imekamilika
Anatulizwa Tu na wenye nchi Yao tena ni mwepesi Sana kwasababu watatumia ustaarabu Tu kumwomba aachie madaraka.
Yote yanawezekana chini ya mastermind Mzee WA msoga
Kabisa yaani.watu na nchi yao sisi tubaki watazamaji tuu.
Wizi wa kistaarabu sio?Safi sana ni wakati wa siasa za kistaarabu.
Tatizo sio kuanzisha chama, bali watapata support ya vyombo vya dola? Wanaccm wote wanategemea vyombo vya dola kufanya siasa, ndio maana wakitoka nje ya ccm wanapata shida sana.
🤣🤣🤣Baada ya kampeni akarudi akawa anasimulia jinsi ataapishwa kuwa Rais😁Ila huyu mzee muhuni Sana,kipindi Cha kampeni za uraisi zimeanza na yeye Ni mgombea wa ACT yeye kasafiri kaacha taharuki huku!
Sasa wewe unamtenganisha vipi mama na hao wauzaji!?Hata wauza madawa ya kulevya wametolewa - mama kaagiza wachunguzwe "wakiwa huru" wasije wakaharibu watoto wetu.
Kuna maagizo mengine unasikiliza, unatikisa kichwa unazima TV.
Hivi mama anajua nguvu za wauza madawa ya kulevya?
chama kinakuwa mali ya mtu flani km kile cha vidole viwili✌
😆😆😆😆Daah hii nchii hii sio ya kuhama kabisa.🤣🤣🤣Baada ya kampeni akarudi akawa anasimulia jinsi ataapishwa kuwa Rais😁
Ushawahi kutumia hizo dawa?Hata wauza madawa ya kulevya wametolewa - mama kaagiza wachunguzwe "wakiwa huru" wasije wakaharibu watoto wetu.
Kuna maagizo mengine unasikiliza, unatikisa kichwa unazima TV.
Hivi mama anajua nguvu za wauza madawa ya kulevya?
Huku kinana huku membe huku riz huku january.
Nimeamini jakaya baba lao.
😁😁😁😁😁😁😁Ushawahi kutumia hizo dawa?
Jiwe liliwabinya hasa! hawatakaa wasahau