Mungu ailaze roho ya BM marahali pema peponi. Tukiwa tunaomboleza msiba wa BM, bado tunakumbuka sana kauli chafu na mbaya za Mbunge wa Mtama (Nape) aliposema kifo cha Dkt Magufuli eti kaamua Mungu ugomvi, na Mzee Makamba aliposema wazee walifika wakasema sasa basi inatosha na wazuri hawafi. Nadhani Nape huko alipo keshajibiwa jibu lake na Mungu kuwa aliyoyatamta kuwa Mungu kaamua ugomvi basi na yeye mtu wake wa karibu aliyekuwa na ugomvi na Musiba kimemtokea hicho hicho. Na tulishaonya hapa jukwaani muda sana kuhusu hii tabia na kibaya zaidi Rais Dkt Samia anawachekea tu hawa waropoka ovyo kiasi kwamba hata yeye anaonekana alishangilia kifo cha Dkt Magufuli. Rais Dkt Samia kifo cha BM kiwe fundisho kwake, apige marufuku dhihaka dhidi ya Dkt Magufuli, na hii tabia ya kushangilia vifo vya viongozi ikomeshwe. Nategemea humu jukwaani memba wale BAN wanaoshangilia kifo cha Dkt Magufuli na BM. Na hii habari tulishasema wanaompenda Dkt Magufuli ni wengi sana tena sana.
 
Kweli.
Wakati Kigogo na wengine wengi wakitabiri msiba unatokea kwa mstaafu wa monduli, unatokea pasipo tarajiwa!
 
Ni kweli kwamba,"Hakuna atakayeishi milele" lakini akifa dhalimu watu hufurahi,Membe kafa peke yake hajabeba mizigo ya watu kafa kifo chema cha miaka 70 maana yake SABATO ikiwa na lengo la Kazi nimeimaliza acha nipumzike kwa amani nifurahie matunda ya kazi yangu.
 
Mbona wewe ulifurahia kifo cha Magufuli kwani wewe sio Expected dead?
Una ushahidi wowote kwamba Mimi nilifurahia kifo Cha Magufuli?
Kama upo nadhani ungeambatanisha hapa wakati unaandika hii post Kama haupo Ni tafsiri kwamba wewe una tabia za kusingizia ili kuifurahisha nafsi yako!

Nina mashaka na umri wako na namna ulivyokutana naambo hapa dunianiani na kujufunza ya ulimwengu huu!

Jifunze Sana kuishi na watu kuliko hisia zako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…