Bwana alitoa, Bwana ametwaa, Jina la Bwana lihimidiwe.

Pole sana kwa familia.
 
Wamempiga sindano ya Sumu kisa Billion 9 hii Nchi sio kabisa yaan
wana uwawa vijana wetu kwa wizi wa simu ya shilingi 30,000/- tu itakuwa hii lakini binafsi naamini Musiba hana uchawi wala nguvu ya kumfikia mtu huyu ni muda tu ulifika.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…