Taarifa za hivi punde zinasema Benard Memba aliyewahi kua Waziri wa Mambo ya nje amefariki Dunia katika hospital ya Kairuki alipopelekwa baada ya kuugua kifua kwa muda mfupi.

Souce: ITV
Kifua Kwa muda mfupi eehh !!! Tayari!!.


Vita kaishinda Musiba !!, haiwezekan Cyprian Musiba, Akina Makonda, Kazi kubwa waloifanyia Taifa hili Kwa Miaka mitano.


Et Leo, Utake kuwaumiza, na ubaki hai?. Haiwezekani .


Kwa maoni yangu Mimi, Mtu yoyote anayejaribu kusaliti Nchi na Juhudi za Nchi kusonga mbele, huyo mtu Hafai Kuishi !!.
 
Kwani jamani WE
Kwani WEMA NAO HUFARIKI?
 
Nani atanunua tena mali ya Musiba? Huo mnada ushakuwa kimavi!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…