mchemsho
JF-Expert Member
- Jun 8, 2011
- 3,230
- 935
Kwa Wizi kweli tutakukumbuka. Yaani wewe ndiye ulifungua milango ya mafisadi. Ulikuwa lege lege ambaye hukujua nini maana ya urais.
Hahahahaha...Just to ignore u pal
Kwa Wizi kweli tutakukumbuka. Yaani wewe ndiye ulifungua milango ya mafisadi. Ulikuwa lege lege ambaye hukujua nini maana ya urais.
mimi namkubuka zaidi kw tangold,meremete,kiwila,deep green,ni rais wa kwanza kutumia ikulu kufanya biashara,kifupi ni kuwa alibaka imani aliyopewa na mwl ni fisadi la kutupwaNdiyo, tutamkumbuka kwa jinsi alivyofisadi nchi yetu na kuwawezesha mafisadi wenzake kuendeleza libeneke. Ni Mkapa huyu huyu aliyekuwa akiapa kila kukicha kuwa "over my dead body," kuhusu Kikwete kuukwaa urais. Sasa atueleze ilikuwakuwaje?
mimi namkubuka zaidi kw tangold,meremete,kiwila,deep green,ni rais wa kwanza kutumia ikulu kufanya biashara,kifupi ni kuwa alibaka imani aliyopewa na mwl ni fisadi la kutupwa
Tufanyeje ndugu yangu? Afadhali ya jana aisee!!!Ama kweli kwenye nchi ya vipofu, mwenye chongo ni mfalme!
Its true that under BMW the economy stabilized. However he was the architect of the corruption we are seeing today. Talk of EPA, KAGODA, KIWIRA, MEREMETA, DEEP GREEN FINANCE, RADAR, TANGOLD, CIS and stupid mining contracts. We are now suffering for what he left behind. Sure for that he will be remembered.FOR sure President Benjamin Mkapa wa an intelligent person, more focused, pragmatic and with clear vision.During his leadership the national economy prospered, he controled economic shocks such as inflation.And above all, President Mkapa maintained a highest level of discpline within his party.Nowadays things are falling apart in every aspect of life, poor eduation quality, skyrocketing commodity prices, rampant corruption and indiscipline within the state machinery.Kwa kweli tuna kila sababu ya kumkumbuka Mkapa.
hivi jamani watanzania tumelogwa? Mkapa akumbukwe kwa lipi? hakuna cha Mkapa wala Kikwete wote ni mafisadi tu, alikua anafanya biashara ikulu, au tumkumbuke jinsi alivyojiuzia mgodi wetu wa kiwira? au Anben? aende zake huko hakuna atakaemkumbuka chadema tukiingia madarakani wote tutawashughulikia.Baada ya vyombo vya habari vilivyokuwa vimenunuliwa na genge la mtandao kumsakama sana kwa habari nyingi za kumponda. Mkapa aliwahi sema maneno machache sana kuwa Watanzania tutamkumbuka.
Kwa kweli hali ya nchi iliyopo saizi hakika jamaa tutamkumbuka tu, tutake tusitake. Nchi kila kitu kinaenda hovyo, na wanaonufaika ni wachache waliokuwa vinara wa hilo genge. Hakika sipati picha itakapofika 2014 hali itakuwaje. Saizi hela haina thamani kabisa, naamini soon BOT itaprint note zingine za elfu 20 na elfu 50. Ki ukweli buku 10 haina thamani tena. Ukishachenji imeisha.
Nchi huwa haiongozwi kwa blabla bali inahitaji commitment ya hali ya juu sana.
Kila la kheri.....