Benjamin Mkapa: Watanzania mtanikumbuka

Benjamin Mkapa: Watanzania mtanikumbuka

Si kweli kuwa jmk kajenga UDOM bali ni mkapa yule yule. sisi ni wamoja wa consultants wa college hiyo na mchakato ulianza mapema takribani 1yr before kumaliza kipindi cha Ben. tuliambiwa kuwa huo ni mradi wa kisiasa utakaosaidia mgombea wa chama cha magamba kupita kirahisi. Ben alikamilisha mipango yote ya sources za fedha toka mashirika ya umma na leo ****** anawadanganya kuwa ni yeye kafanya? Sehemu kubwa ya chuo imejengwa yeye akiwa madarakani lakini plani na fedha kaandaa Ben kama ilivyo kwa miradi mingi ya barabara aliyoiacha Ben imeendelea kujengwa yeye akiwa madarakani. Kubalini tu kuwa mlichagua raisi ambaye umri wake katika ngazi hiyo alikuwa bado mtoto au vinginevyo kama ni karata mmelamba g.l.sa

Ebanaee hili nalisikia kwako unataka kuniambia ujenzi wa UDOM ulianza katika kipindi cha Mkapa, any way ngoja ngoja nikae chini kutafuta ni kitu gani cha maana Kikwete amekifanya naamini lazima nitabahatisha japo kimoja. Eheeee!!!!!!!!! nimekumbuka amejenga kilwa road kwa kiwango cha juu kabisa watu wa mbagala sasahivi wanateleza tuu!!!!!!!!!
 
Nitamkumbuka Mkapa kwa kuwafunga mdomo waandishi wa habari

Kwa kumnyang'anya Jenerali Ulimwengu uraia wake

Kwa kufoka hovyo akiwa kwenye interview ya BBC (Hard Talk)

What a great leader he was!!!
 
Nitamkumbuka Mkapa kwa kuwafunga mdomo waandishi wa habari

Kwa kumnyang'anya Jenerali Ulimwengu uraia wake

Kwa kufoka hovyo akiwa kwenye interview ya BBC (Hard Talk)

What a great leader he was!!!

Penye nyekundu nakuunga mkono, nadhani ni kiburi kwakuwa yupo very fluent kiasi kwamba maswali ya kitoto huyaelewa vizuri na ku-respon accordingly, ni tofauti kabisa na Jk rejea interview ya Jk na Shaka Ssali wa VOA. nilipenda san Jk anavyo respond, kwanza likiulizwa swali ni lazima lirudiwe ili aelewe hana haraka ya kujibu utamsikia akisema "pardon" "pardon" mpaka raha, atleast hili eneo analimudu
 
wapambe wake walimshauri amkamate Mramba na kumuweka ndani,kwa sababu ya tuhuma za kutunga ili aidhalilishe serikali ya Mkapa, akamuweka mluguru kuwa ktk nafasi ile ya Mramba, matokeo yake nchi sasa haina muelekeo, kila kitu hovyo, mbuzi ni mbuzi tu
 
KILA BINADAMU ANA MAPUNGUFU NA MAZURI YAKE,
BMW ANA MAPUNGUFU YAKE KIUONGOZI LAKIN ,
KWANGU MIMI NAONA BORA KUONGOZWA NA BMW KSB ANA MAPUNGUFU MACHACHE NA MAZURI MENGI, PIA NI KIONGOZI MWENYE
MSIMAMO KWA KAULI NA VITENDO VYAKE ,
KULIKO HUYU NA BA LIZ 1, ASIYEWEZA KUSIMAMIA HATA KAULI ZAKE MWENYEWE( PAMOJA NA MAPUNGUFU YAKE MENGI NA MAZURI MACHACHE /KIDOGO KAMA PUNJE YA HARADANI BADO NAMHESHIMU NI RAIS WANGU KWA MUJIBU WA TANGAZO LA TUME YA UCHAGUZI}

TATIZO LA WATZ ZETU WENGI TUNAOGOPA SANA RISK, HATA SIJUI KWA KNN,
LAKIN KAMA TUNGEKUWA NA UJASIRI WA KUBADILISHA UONGOZI WA VYAMA HII NCHI INGEENDELEA SANA KIUCHUMI NA KISIASA.
MIAKA MITANO CDM WAKICHEMSHA TUNAWAONDOA KWA KURA ,MIAKA INAYOFUATA CCM/ CUF/UNDP AU KINGINE CHOCHOTE KWA UTARATIBU HUU MI NAAMINI WATU WANGEKUWA WANAWAJIBIKA PINDI WANAPOKABIDHIWA MADARAKA KUANZIA JUU MPAKA CHINI, KWA KUOGOPA KUPIGWA CHINI PINDI UCHAGUZI UKIFIKA, LAKIN HII YA KUONGOZWA NA CHAMA KIMOJA TU ZAIDI YA MIAKA 40....NDIYOMAANA WANABWETEKE HAWAJIBIKI IPASAVYO. WATANZANIA TUACHE WOGA TUWE NA UTHUBUTU WA KUBADILI UONGOZI WA KICHAMA, LAKINI YA KUIWEKA CCM KABLA WATU HAWAJAZALIWA,WANAZALIWA,WANAKUWA,WANAZEEKA MPAKA WANAKUFA NI CCM TUUUU, aah jaman,Watanzania nani katuloga??? woga wa nini??. INAUMIZA SANA.
 
KILA BINADAMU ANA MAPUNGUFU NA MAZURI YAKE,
BMW ANA MAPUNGUFU YAKE KIUONGOZI LAKIN ,
KWANGU MIMI NAONA BORA KUONGOZWA NA BMW KSB ANA MAPUNGUFU MACHACHE NA MAZURI MENGI, PIA NI KIONGOZI MWENYE
MSIMAMO KWA KAULI NA VITENDO VYAKE ,
KULIKO HUYU NA BA LIZ 1, ASIYEWEZA KUSIMAMIA HATA KAULI ZAKE MWENYEWE( PAMOJA NA MAPUNGUFU YAKE MENGI NA MAZURI MACHACHE /KIDOGO KAMA PUNJE YA HARADANI BADO NAMHESHIMU NI RAIS WANGU KWA MUJIBU WA TANGAZO LA TUME YA UCHAGUZI}

TATIZO LA WATZ ZETU WENGI TUNAOGOPA SANA RISK, HATA SIJUI KWA KNN,
LAKIN KAMA TUNGEKUWA NA UJASIRI WA KUBADILISHA UONGOZI WA VYAMA HII NCHI INGEENDELEA SANA KIUCHUMI NA KISIASA.
MIAKA MITANO CDM WAKICHEMSHA TUNAWAONDOA KWA KURA ,MIAKA INAYOFUATA CCM/ CUF/UNDP AU KINGINE CHOCHOTE KWA UTARATIBU HUU MI NAAMINI WATU WANGEKUWA WANAWAJIBIKA PINDI WANAPOKABIDHIWA MADARAKA KUANZIA JUU MPAKA CHINI, KWA KUOGOPA KUPIGWA CHINI PINDI UCHAGUZI UKIFIKA, LAKIN HII YA KUONGOZWA NA CHAMA KIMOJA TU ZAIDI YA MIAKA 40....NDIYOMAANA WANABWETEKE HAWAJIBIKI IPASAVYO. WATANZANIA TUACHE WOGA TUWE NA UTHUBUTU WA KUBADILI UONGOZI WA KICHAMA, LAKINI YA KUIWEKA CCM KABLA WATU HAWAJAZALIWA,WANAZALIWA,WANAKUWA,WANAZEEKA MPAKA WANAKUFA NI CCM TUUUU, aah jaman,Watanzania nani katuloga??? woga wa nini??. INAUMIZA SANA.

Thanks
 
Mnajimu? au elimu ya anga?

Mkapa amejifunzia wizi ikulu na akawa anafanya kazi kwa bidii akiamini watanzania wakiona matokeo mazuri ya kazi yake hawatafunguka macho kuona wanavyoibiwa. Pole BWM
 
Kuna swali moja wakuu ambao huwa najiuliza.

Je pesa ambayo BWM alikusanya kupitia kodi ambayo ilikuwa ikitozwa vile inavyopaswa sasa imeisha vipi?

Je deni la taifa ambalo BWM alifanya kazi ya ziada kuzungumza kwa kiingereza na wazungu (nchi tajiri) na wakakubali kulipunguza limebakia palepale au limeongezeka maradufu.

Na je mfumuko wa bei nani ameruhusu mpaka sasa shilingi haina thamani yake tena?
 
Wote wezi tu wanapishana mbinu, kama mmoja jambazi wa kuteka magari basi mwingine jambazi la kuvamia majumba!
 
Kuna swali moja wakuu ambao huwa najiuliza.

Je pesa ambayo BWM alikusanya kupitia kodi ambayo ilikuwa ikitozwa vile inavyopaswa sasa imeisha vipi?

Je deni la taifa ambalo BWM alifanya kazi ya ziada kuzungumza kwa kiingereza na wazungu (nchi tajiri) na wakakubali kulipunguza limebakia palepale au limeongezeka maradufu.

Na je mfumuko wa bei nani ameruhusu mpaka sasa shilingi haina thamani yake tena?

Kitu kinachonikera ni namna huyu mkulu anavyotaka kulazimisha mambo aonekane ana-perform hivi mnafahamu kwamba kanuni ya kukokotoa mfumuko wa bei hivi karibuni wameibadirisha ili iwe inaleta jawabu zuri, lakini still tupo kwenye double digit, na kwa taarifa yako tungeendelea na formula ya zamani mfumuko wa bei ungesoma figure kubwa sana, ukifuatilia kwanini kanuni ya kukokotoa inflation imebadilishwa utaambiwa tunata mfumuko wa bei usionekane mkubwa sana kwa wawekezaji itawadiskaleji, Ipo siku nitaikimbia nchi hii walai tena
 
Mi nitamkumbuka kwa kushindwa kwake kutuachia Rais bora wakati uwanda wa chaguo alikuwa nao... Salim,Mwandosya.... Kuliko vitisho na shinikizo la mafisadi na kulegea na kutuachia nazi...
 
Hata Kama Mkapa alifanya mazuri basi yote yatakuwa yamefunikwa na matendo ya huyu"bullcheka"alie kwa sasa na sbb kuu ni siri za Serikali kuvuja sn hasa mbaya za wizi nk

wazo zuri sana huyu jamaa kwakuwa anazidisha utumbo kwenye uongozi anastahili kuitwa BULICHEKA.
 
mmeongea mendi sana..ILA nawaakikishia..kama kweli MKAPA YUPO na alikuwa msafi na kiongozi bora..angesema hata neno moja tuu kwa JK..UNAIPOTEZA NCHI na una ua chama.Ye KIMYA!! Mbona Mwalimu alikuwa anongea kabisa!!
 
sjapata mda wa kusoma comment zote but mimi napenda kuweka wazi swala moja, tofauti kubwa ya mkapa na kikwete ;mkapa was real a man and alikuwa na final say as a president ;akisema acha utaacha,,, fanya utafanya but huyu mwenzetu kasema acha we fanya,,, akisema usifanye nyie ndo kwanza mnaongeza spidi he doesn't have the final say as the president na ndo maana tupo hapa tulipo tunalalamika tuuuuu ye anabakia kukenua meno tu kwenye majukwaa

Jk is Stupid of authority that he has, he knw them but cant exercise them, he is Merely trash in the statehouse
 
Back
Top Bottom