Benjamin Mkapa: Watanzania mtanikumbuka

Benjamin Mkapa: Watanzania mtanikumbuka

Dawa nchi hii wachukue chadema tutaishi Kama peponi na nchi haitakua na deni hats sent tano...

Why using a lot of energy trying to compare one after another we lack a very special thing here as Tanzanians and Not individual... We lack an Active System and not a Party or Person..

Mimi nadhani hapa watu wamejikita kwenye hoja ya Chama tawala kitoke na mbadala uwe chadema Mimi sina tatizo na Hilo ,

Ila swali hapa ni unadhani wakiingia chadema hulka za watu wote mioyoni zitachange? Definitely NO..

Wezi watabaki kuwa wezi, Rushwa itaendelea kuwepo na pengine hujuma itaendelea kuwepo haswa kwa wale ambao ni wafuasi wa vyama vingine watahijumu nchi kwa makusudi.

Sasa hoja nadhani iwe Mfumo upi tunautaka uongoze nchi yetu na si Chama kipi km kweli tunaitakia nchi yetu mema lakini sio tumekua wajinga wa kushabikia tusichonufaika nacho

Kwani namimi Nina akili timamu I can be anybody ila tu sio sote tunaweza kua politicians lakini ningependa kuongozwa na Mfumo badala ya Mtu au Chama mfano, we all knows how to drive but what if there is no traffic light ? It is damn chaos.

Kwahiyo badala ya kuwatafutia *wengine ulaji ni vyema tukawa Realistic hapa,
Kwani kila Mtu anakimbilia siasa kwakua kuna upuuzi whether it be CCM or CDM or CUF wao lengo Lao ni kupata uhalali wa kutawala na kuongoza kwa kupata viti na majimbo na popularity that's it!

Kwanini nasisitiza Mfumo hapa?

Mfumo ndio uwe hukumu ya watawala na watu tuanaowapa dhamana ya kutuongoza na Mfumo ukiwa mzuri sidhani Kama kuna *atakae kimbilia siasa, ila Mfumo uliopo sasa ni collapsed hauwawajibishi Chama chochote I'm afraid to we are going to face the same shit were facing now if we can't figure out what best we want ? How to get it ! If we choose to show to each other who is who when it comes to criticism? We are no providing the permanent solutions to our problems instead we partially address them ... Tena Mbaya Zaidi humu ndani.

Mfano..
USA kuna Taxi, huwezi kujua taxi driver anapata kiasi gani kwa siku Kama ukiwa umemwambia kwa siku lete 80 pengine haipati au anapata Zaidi sasa ili kuondoa Mfumo HOLELA wenzetu wameweka Mfumo ambao Mteja anapata haki yake,driver anapata haki yake na pia mmiliki anapata haki yake., Kwani unapoingia kwenye taxi kuna count machine yakukujulisha wewe km Mteja mwisho wa siku utalipa kiasi gani na pia mmiliki nae system inamjulisha kua taxi no Fulani inamteja na amelipwa kiasi gani kwa ni mwisho wa siku ni printout ndio inamfanya driver awasilishe *alichopata siku nzima ndio maana driver wanategemea Mshahara na tips toka kwa wateja tu kwahiyo Mfumo umewadhibiti na uko centralized*

Kwahiyo nadhani huu ni mfano..
Kama kungekua na Mfumo ambao ni mzuri iwe CDM , CCM au TLP au CUF wote Hawa Siasa isingekua kimbilio na kila Mtu angeogopa kua mwanasiasa badala ya Sasa kila Chama kinavutia kwake na sisi Bahati Mbaya tumekua wajinga sna.

Mfumo ndio hoja inayotakiwa kwa sasa badala ya kuwa wajinga wa itikadi na kila Mtu kuona kua kikiingia Chama Fulani kila kitu kitakua pepo... Ni suala la. Kuamua kuwa na Mfumo ambao viongozi wakimbie siasa na kuona ni mzigo usiobebeka
 
Hata mimi nilishakwisha kusema hapa JF kuwa lipo genge fulani la wanamtandao waliosaidia kwa namna moja ama nyingine jk kuingia madarakani, genge hili lilijitahidi sana kuchafua wengine wakimo akina Tluway Sumaye ( ndo mana mpaka leo analaani hilo), lilipopata mdaraka kilichofuata ni kutumia genge jingine la waandishi wa habari kushambulia utawala uliopita, likidhani lenyewe lingebaki salama. hii ilifanyika kwa makusudi ili kuwasahaulisha wananchi na mazuri waliyofanyiwa na braza Ben. walimchafua Braza Ben sana, sasa matokeo yake leo tunayaona haya tunayoona. Muhimbili hakutamaniki, wananchi maskini wanaangua vilio hovyohovyo kwa kukosa tiba huku serikali ikitumia vitisho na njia isiyo na mashiko ya kutatua mgogoro wa madaktari. Hilo moja, pili tazama bei za vitu, kila kukicha wafanyabiashara wanaibuka na bei zao wanazotaka as if nchi haina wadhibiti.

Baadhi ya waandishi wa habari hawatakwepa lawama ya mateso haya wanayopata wananchi leo, kushabikia wasiyoyajua na pengine kuwa-mislead wananchi kuchagua magaras.

Mungu bariki Tanzania, Mungu ibariki afrika!
 
mimi namkubuka zaidi kw tangold,meremete,kiwila,deep green,ni rais wa kwanza kutumia ikulu kufanya biashara,kifupi ni kuwa alibaka imani aliyopewa na mwl ni fisadi la kutupwa

Umesahau kagoda plus ubinafsishaji holela wa mashirika ya umma!!! Namkumbuka zaidi tena zaidi kwa kuuza nyumba za serikali hali inayopelekea leo hii baadhi ya mawaziri wanaishi hotelini.....na hapa ndipo pia nakutana na lile doa la makufuli kwani alishikilia bango lazma ziuzwe kipindi kile.
 
Mimi nadhani hapa watu wamejikita kwenye hoja ya Chama tawala kitoke na mbadala uwe chadema Mimi sina tatizo na Hilo ,

Ila swali hapa ni unadhani wakiingia chadema hulka za watu wote mioyoni zitachange? Definitely NO..

Wezi watabaki kuwa wezi, Rushwa itaendelea kuwepo na pengine hujuma itaendelea kuwepo haswa kwa wale ambao ni wafuasi wa vyama vingine watahijumu nchi kwa makusudi.

Sasa hoja nadhani iwe Mfumo upi tunautaka uongoze nchi yetu na si Chama kipi km kweli tunaitakia nchi yetu mema lakini sio tumekua wajinga wa kushabikia tusichonufaika nacho

Kwani namimi Nina akili timamu I can be anybody ila tu sio sote tunaweza kua politicians lakini ningependa kuongozwa na Mfumo badala ya Mtu au Chama mfano, we all knows how to drive but what if there is no traffic light ? It is damn chaos.

Kwahiyo badala ya kuwatafutia *wengine ulaji ni vyema tukawa Realistic hapa,
Kwani kila Mtu anakimbilia siasa kwakua kuna upuuzi whether it be CCM or CDM or CUF wao lengo Lao ni kupata uhalali wa kutawala na kuongoza kwa kupata viti na majimbo na popularity that's it!

Kwanini nasisitiza Mfumo hapa?

Mfumo ndio uwe hukumu ya watawala na watu tuanaowapa dhamana ya kutuongoza na Mfumo ukiwa mzuri sidhani Kama kuna *atakae kimbilia siasa, ila Mfumo uliopo sasa ni collapsed hauwawajibishi Chama chochote I'm afraid to we are going to face the same shit were facing now if we can't figure out what best we want ? How to get it ! If we choose to show to each other who is who when it comes to criticism? We are no providing the permanent solutions to our problems instead we partially address them ... Tena Mbaya Zaidi humu ndani.

Mfano..
USA kuna Taxi, huwezi kujua taxi driver anapata kiasi gani kwa siku Kama ukiwa umemwambia kwa siku lete 80 pengine haipati au anapata Zaidi sasa ili kuondoa Mfumo HOLELA wenzetu wameweka Mfumo ambao Mteja anapata haki yake,driver anapata haki yake na pia mmiliki anapata haki yake., Kwani unapoingia kwenye taxi kuna count machine yakukujulisha wewe km Mteja mwisho wa siku utalipa kiasi gani na pia mmiliki nae system inamjulisha kua taxi no Fulani inamteja na amelipwa kiasi gani kwa ni mwisho wa siku ni printout ndio inamfanya driver awasilishe *alichopata siku nzima ndio maana driver wanategemea Mshahara na tips toka kwa wateja tu kwahiyo Mfumo umewadhibiti na uko centralized*

Kwahiyo nadhani huu ni mfano..
Kama kungekua na Mfumo ambao ni mzuri iwe CDM , CCM au TLP au CUF wote Hawa Siasa isingekua kimbilio na kila Mtu angeogopa kua mwanasiasa badala ya Sasa kila Chama kinavutia kwake na sisi Bahati Mbaya tumekua wajinga sna.

Mfumo ndio hoja inayotakiwa kwa sasa badala ya kuwa wajinga wa itikadi na kila Mtu kuona kua kikiingia Chama Fulani kila kitu kitakua pepo... Ni suala la. Kuamua kuwa na Mfumo ambao viongozi wakimbie siasa na kuona ni mzigo usiobebeka
 
Lazima tutamkumbuka saaana, maana yeye aliyempigia debe kiwete siku ya Mwisho pale dodoma, yeye ndio alishiriki kumwambia Dr Salim H.Salim ni Hizib, yeye alishiriki kuhakikisha kundi la wezi linachukua nchiiiiii, lazima tumkumbuke saaan tuuuu kwa usaliti huuuu
 
U clever wakekuuza maliasili nza taifa na kubinafsisha mali za umma hakuna kitu hawa wawili ni sawa na kichaa aliefungwa minyororo hospital na kichaa anae zurula mitaani wote kwa ufupi ni vichaa.

Mimi nishaamkumbuka sana sio nitamkumbuka Ben you were cleaver preseder
 
Kwahali ya nchi ya sasa kisiasa, kiuchumi na hata kijamii, tupende tusipende tunamkumbuka Ben kwani kipindi chake na cha huyu jamaa kuna tofauti kubwa sana tena saaana. May the almight God stretch His hand upon Tanzania.
 
lazima utakuwa haujatafakari tofauti iliyopo kipindi cha Mkapa na sasa. hata mtu ambae hajasoma ataona tofauti anaponunua chumvi au sukari!! anaponunua unga wa ugali au mahindi, anaponunua mchele au maharagwe nk! hapo ndipo utaona tofauti,huhitaji kwenda shule kuona kuwa kunatofauti kubwa sana katika uchumi kipindi cha Mkapa na JK!inaonekana wewe hujaenda bado dukani ndio maana tofauti huioni pengine!!! Mkapa anamakosa yeke sikatai lakini alitumia professional yake vizuri kuweka maisha yakawa mstari miaka yote aliyokaa! there was NO inflation, cheki sasa tulipo ni pagumu sijawahi ona! sukari elf 3000, mkapa time 500!! JK ni kucheka tuuuuuuuuuuuu hajawahi kutoa maamuzi hata cku moja akayasimamia, kila siku kauli zake na mawaziri wake zinapishana. tukiruhusu 2015 kumweka anaefanana na yeye basi kizazi kijacho chooote kitakuwa juu ya mawe!!
 
mimi nitamkumbuka jk kwa unafiki na usanii! Worst ever president in tanznia.
 
Honestly,Hakuna mtu aliyekamilika ila Muumba wa nchi na ulimwengu pekee.
Third president of URT MR MKAPA amefanya mambo mengi mema kwa nchi na katika maamuzi kafanya kama raisi wa nchi,ameweza kukemea waropokaji ovyo waliokuwa na lengo la kuharibu utawala wake,uchumi ulikuwa,mfumuko wa bei haukuwa kama hivi sasa hatua madhubuti na mapema aliweza kuchukua,ukimtoa baba wa Taifa sioni Raisi kama mkapa.Sure go everywhere in Tanzainia then ask.
I wilii remember his ruling system.
 
Namkumbuka kwa sera yake ya uwazi na ukweli na kuruhusu mchezo wa karata tatu utumike ccm kumpata mgombea urais 2005!!
 
Of course aliweza pia kudhibiti mfumuko wa bei, kuanza kukusanya kodi kwa uhakika, kuweka idara ya usalama wa taifa kisheria kuwatukana Waingereza CHOG Australia juu ya Mugabe mpaka Blair akampa shavu, na mengine kama hayo..
Mkuu hapo nilipobold ndipo panaathiri maisha ya watu directly, muda wa mkapa bei zilikuwa hazipandi hovyo hovyo kama sasa hivi; bidhaa zinazotumiwa na wengi wa hali ya kawaida kiuchumi kama mafuta ya kula, mafuta ya taa, unga, sukari zilikuwa hazipandi hovyo hovyo kama zama hii.
 
Nimeangalia sana hoja za wajumbe nikaona wengi wanatakiwa kukaa chini na kalamu ili waweze kuandika Mazuri na Mabaya yote ya Dr.Ben.Nina imani kabisa anayo mazuri mengi kuliko mabaya na hii ndio sababu ya kumkumbuka.
Wakati mwingine huwa natamani arudi madarakani.
 
Mkapa alikuwa ni fisadi na bado ni fisadi na analindwa na mafisadi
Nilichompendea na kinachonifanya nimkumbuke ni uwezo wake wa kujenga hoja na kuisimamia, hakuwa legelege
Akiongea anakaza macho kila mtu anatulia, anasikiliza, anatekeleza kwani rais kasema!
Sio sasa hivi tunajichekelesha weeeeeeeeeee halafu basi, hakuna lolote baada ya kujichekelesha..
 
Akiondoka madarakani, Rais Benjamin Mkapa alisema maneno ambayo pengine tuliyaona ya 'kizaramo' sana na hatukuyatilia maanani, lkn naamini sasa yamepata maana akilini mwetu; MTANIKUMBUKA!

Naamini kuwa si Ponda wala UAMSHO wangekuwa na jeuri ya kuipa Serikali ULTIMATUM kwa mambo ambayo sheria na taratibu za nchi zinaelekeza vyema yafanyikaje. Hapa pia namkumbuka Mkapa.

Binafsi naamini Ponda na Uamsho wasingefanya wanavyofanya endapo nchi hii ingekuwa haiongozwi Ki-ubwana Yakhe. Kwa hili nitamkumbuka Mkapa.

Ni imani yangu yapo mengi tu ambayo kwayo Mkapa atakumbukwa. Mazuri kwa mabaya lkn yeto juu ya yote, TUNAMKUMBUKA.

Hali ya sintofahamu juu ya amani ya nchi yetu ni sababu nyingine itanifanya nimkumbuke Rais Mkapa. Naamini kama Mkapa angekuwa magogoni, yule mjane wa Malawi asingetutukana tukicheka na kutabasamu.

Dharau sasa zinatoka nje na ndani ya nchi. Tunadharauliwa hadi na wamama wajane wasio na waume, watu wasioenda shule na magaidi wadogo wadogo wa visiwani.

Mungu umeibariki Tanzania tangu umbiko lake, lkn mbona sasa umeitupa?
 
Nashukuru kwa kuleta hoja hii, jana nilichangia posti moja, nikasema tatizo letu ni udhaifu wa uongozi. Hao waislamu wasingefikia hatua waliyofikia, hasa ya kuchoma makanisa na kuharibu mali kisa eti mtoto kakojolea kurani. Mod naona kaona feki kafutilia mbali mchango wangu. Lakini hii ndo hali halisi. Tatizo la udhaifu wa uongozi ndo maana askari badala kufanya shughuli nyingine ya maendeleo, kila leo wako barabarani kutuliza vimaandamano visivyoeleweka. What a shame...
 
Nashukuru kwa kuleta hoja hii, jana nilichangia posti moja, nikasema tatizo letu ni udhaifu wa uongozi. Hao waislamu wasingefikia hatua waliyofikia, hasa ya kuchoma makanisa na kuharibu mali kisa eti mtoto kakojolea kurani. Mod naona kaona feki kafutilia mbali mchango wangu. Lakini hii ndo hali halisi. Tatizo la udhaifu wa uongozi ndo maana askari badala kufanya shughuli nyingine ya maendeleo, kila leo wako barabarani kutuliza vimaandamano visivyoeleweka. What a shame...

Muda si mrefu utasikia matukio ya kutisha na amani itakuwa historia. Ukiona watu wanapata uthubutu wa kuua namna ya UAMSHO na bado wanaweza kusimama majukwaani kuipa serikali ultimatum basi jua tumefikia pabaya.
 
Muda si mrefu utasikia matukio ya kutisha na amani itakuwa historia. Ukiona watu wanapata uthubutu wa kuua namna ya UAMSHO na bado wanaweza kusimama majukwaani kuipa serikali ultimatum basi jua tumefikia pabaya.

Kwahiyo wataka kusema kiongozi shupavu ni yule anaepambana vyema na waislam! kwa taarifa yako hii chembe ndogo ya amani iliyopo sasa hivi ni kwa sababu Rais amekuwa na busara sana katika kuyaendea haya mambo, kama ni wakati wa mkapa nadhani nusu ya watanzania wangeshapoteza maisha kwa vita za kidini, na wala asije akatokea kiongozi yeyote wa nchi hii akasema anapambana na wa waislam atakua ameharibu nchi, atafute jina jengine la maadui zake lakini si uislam na waislam, hapo ndipo kwenye shida. atakae kuwa hai atajionea mwenyewe, mimi naitakia kheri nchi yetu kila siku....
 
Kwahiyo wataka kusema kiongozi shupavu ni yule anaepambana vyema na waislam! kwa taarifa yako hii chembe ndogo ya amani iliyopo sasa hivi ni kwa sababu Rais amekuwa na busara sana katika kuyaendea haya mambo, kama ni wakati wa mkapa nadhani nusu ya watanzania wangeshapoteza maisha kwa vita za kidini, na wala asije akatokea kiongozi yeyote wa nchi hii akasema anapambana na wa waislam atakua ameharibu nchi, atafute jina jengine la maadui zake lakini si uislam na waislam, hapo ndipo kwenye shida. atakae kuwa hai atajionea mwenyewe, mimi naitakia kheri nchi yetu kila siku....

Tell me dear friend, serikali ikipambana na mtu anayehamasisha watu kuvamia viwanja vya watu na kuvunja uzio kisha kusimama majukwaani na kusema this is the way, itakuwa inapambana na Uislamu au na ujambazi wa kutumia silaha?

Ni haki ya watu fulani kuvunja makanisa na kuyachoma moto?
 
Kwahiyo wataka kusema kiongozi shupavu ni yule anaepambana vyema na waislam! kwa taarifa yako hii chembe ndogo ya amani iliyopo sasa hivi ni kwa sababu Rais amekuwa na busara sana katika kuyaendea haya mambo, kama ni wakati wa mkapa nadhani nusu ya watanzania wangeshapoteza maisha kwa vita za kidini, na wala asije akatokea kiongozi yeyote wa nchi hii akasema anapambana na wa waislam atakua ameharibu nchi, atafute jina jengine la maadui zake lakini si uislam na waislam, hapo ndipo kwenye shida. atakae kuwa hai atajionea mwenyewe, mimi naitakia kheri nchi yetu kila siku....

......bali EXREMISTS[imani kali]
 
Back
Top Bottom