NairobiWalker
JF-Expert Member
- Oct 31, 2012
- 12,090
- 12,255
Hehehehe, ugua pole. 🤣 🤣 🤣Onesha hata picha moja wakishika jembe kuonyesha ujenzi umeanza
Hiyo yenu uchwara ya 30,000 capacity ndio bado iko domo domo stage.🤣🤣
Hehehehe, ugua pole. 🤣 🤣 🤣Onesha hata picha moja wakishika jembe kuonyesha ujenzi umeanza
Kama Bernabeu mwanangu ❤️❤️😘😍🇹🇿🔥🔥🔥🔥🔥🔥....Kitu nimegundua kuhusiana na hii design ya huu uwanja wa Arusha ni kwamba wamelenga kufananisha na Tanzanite gamestone ambayo ulimwenguni kote unapatikana hapo Arusha tu, unaweza kuona kwa ukaribu hii design 👇View attachment 2938977View attachment 2938978View attachment 2938979..
Ila mimi nae nilitaka kupost picha moja ila nikajikuta Nimepost picha tatu 🤣🤣🤣 kiherehere hiki duh..
Mniwie radhi wanuka mavi or sorry nilitaka kusema northeners 🤣🤣
Tuna Kasarani. Capacity 60,000. Iko na running tracks na imewai host hiyo IAAF games U20 in 2020. Sahii tunajenga kitu modern dedicated to field games which are Football and rugby. Our 15s rugby is number 33 in the world and number 3 in Africa - kama utasema hiyo ni mbovu sasa football yenu yenye ni number 119 duniani utasemaje?🤣🤣🤣 Usiforce tufanane.Sio mimi mzee, ni nyie, mngeweka running track hapo Talanta mngeweza pigana mkapata haya IAAF Diamond league series. Yakwamza Africa. Na mngeweza maana mngetumia leverage ya wakimbianaji wenu na mahusiano mazuri mliokuwa nayo na IAAF.
sasa kwenye rugby man leverage gani?? Timu yenu ya 15s ni mbovu!! Bora kwenye sevens kidogo ila huko pia mnajulikana kama wasimdikizaji tu!
Msipokuwa makini TALANTA will be a white elephant 🐘🤣🤣🤣🤣
No more stories ,ni kazi tuu 👇👇
View: https://www.instagram.com/p/C4qzX9VIZZH/?igsh=Z2N4djRpbDY3dmJr
With no doubt, this will be the most b
Ebu tuonyeshe majengo za Westlands hapo we Toilet Boy.Naona na majengo ya Westland yanaonekana au nasema urongoo😆😆😆
Typical Lamu Traffic , 1st Frame😂Lamu ambulance 😆😆😆 alaf wako hapa kupiga kelele eti wafananishwe na Singapore
View attachment 2939081View attachment 2939082
kinondoni slums....hiii ni slum by kenyan standard
Render aliyonayo KiberaWalker 🤣🤣Mzee, the winner 🏆 ni Sisi mzee, kwa mkapa kwenyewe hakujai kila siku maana ya uwanja mkubwa hivyo ni nini!?
Arusha ndo capital ya track athletics hapa Tanzania, lazima tuwafikirie na wao.
Huo Talanta mmekurupuka tu!! Viwanja vyenu hujaa wakati wa siasa Tu au na Diamond akija kupiga shoo huko🤣. Unafikiri rugby ndo itajaza huo uwanja!! Kwa mashindano gani!!
Cape town green point stadium wana struggle na wao wanahost 7s series. Nyie hapo je itakuwaje???
Hata tukisema mpira, kwa mpira gani Kenya!? Bora mngeweka running track mka leverage na mbio zenu!!
Ila mmebugi mzee! Mtaniambia!
Una matatizo sio Bure, msikilize Waziri hapa utoe wenge kwanza 👇👇Sema kwa b286 tumepigwa na kitu kizito
Yani meli 51 in 2 weeks. 😂 😂 😂 Unaumwa kweli kweli.Will call 😆😆😆 wanasiasa buana
Kama huna bando soma haya maelezo hapa Kwa makini 👇👇Sema kwa b286 tumepigwa na kitu kizito
Viwanja vyao ni kwa ajili ya politics na crusade.Mzee, the winner 🏆 ni Sisi mzee, kwa mkapa kwenyewe hakujai kila siku maana ya uwanja mkubwa hivyo ni nini!?
Arusha ndo capital ya track athletics hapa Tanzania, lazima tuwafikirie na wao.
Huo Talanta mmekurupuka tu!! Viwanja vyenu hujaa wakati wa siasa Tu au na Diamond akija kupiga shoo huko🤣. Unafikiri rugby ndo itajaza huo uwanja!! Kwa mashindano gani!!
Cape town green point stadium wana struggle na wao wanahost 7s series. Nyie hapo je itakuwaje???
Hata tukisema mpira, kwa mpira gani Kenya!? Bora mngeweka running track mka leverage na mbio zenu!!
Ila mmebugi mzee! Mtaniambia!
Sema kwa b286 tumepigwa na kitu kizito
Kama huna bando soma haya maelezo hapa Kwa makini 👇👇
View: https://www.instagram.com/p/C4slmg6Nnkv/?igsh=ajQ4b3ZoNzB3ZnFp
We already have an athletics stadium, Talanta Stadium will be one of the few proper football stadium in Africa. 😂😂😂Mzee, the winner 🏆 ni Sisi mzee, kwa mkapa kwenyewe hakujai kila siku maana ya uwanja mkubwa hivyo ni nini!?
Arusha ndo capital ya track athletics hapa Tanzania, lazima tuwafikirie na wao.
Huo Talanta mmekurupuka tu!! Viwanja vyenu hujaa wakati wa siasa Tu au na Diamond akija kupiga shoo huko🤣. Unafikiri rugby ndo itajaza huo uwanja!! Kwa mashindano gani!!
Cape town green point stadium wana struggle na wao wanahost 7s series. Nyie hapo je itakuwaje???
Hata tukisema mpira, kwa mpira gani Kenya!? Bora mngeweka running track mka leverage na mbio zenu!!
Ila mmebugi mzee! Mtaniambia!
📌📌📌🔨 Bado hujasema 😁😁i am sure tz had no plans of building that stadium trust me...lol.They had to gather some chinese real quick