Hawajui tofauti ya built and made.Ndio maana amesema built in Kenya. Hajasema made in Kenya
Hiyo ndio stendi yenu huko unyang'auni? Duh😎EasyCoach
View attachment 2838042
Sasa Tz utaifananisha na Kenya kwenye purchasing power? Mm huku mtaani huwa tunatumia neno Kenya au Ethiopia kama njaa, yani mtu akikuuliza 'oyaa vipi mwanangu una jero apo' ukimjibu 'kama Kenya mwanangu' au 'kama Ethiopia mwanangu' manaake hana kitu yani njaa tu.Your purchasing power ndio Iko chini. You like cheap and fake items. Jumia ilitoka Tz cause mlizoea kununua bidhaa kwa vibanda.
Itafungwa kwasababu watz hatutumii vitu vya wageni hususan waafrika, hatuwaamini labda vya wazungu, wahindi au wachina ila sio vya waafrika.🤣🤣🤣 Itafungwa mara moja
Naiona apo Numero uno yn number one.
Ugali na mkate ni sawa? Nyinyi mnaandamana kisa unga wa ugali just imagine na upo hapa unapanua mdomo wako unaonuka unabishana na watz wanaojitosheleza🤣🤣🤣🤣🤣🤣Even France people demonstrating because of "bread "
Who is Payu🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣There are only 3 e-commerce giants in Sub-Sahara Africa.
Nakubaliana na wewe na tulijua mapema kwamba marefa wamehongwa, marefa wa kiafrika ni takataka. Kwanza mm nilikuwa sifatilii kabisa mpira wa kiafrika nmeanza kufatilia baada ya timu zetu kuwa zinafanya vizuri kimataifa.Yule line 2 alikuwa ametumwa kuingamiza yanga.Kuna matukio matatu against Yanga. Alipeta ofiside ya mchezaji wa medeama maksudi,aliona ule mchezo hatari aliochezewa kibabage angeweza mshauri refa wa Kati kuwa ile ilikuwa straight red card,akarule out kuwa la kibabage ofside wakati ni halali.
Na ndio maana Tz kuna life expectancy kubwa kuliko Kenya thus y tunakula vitu OG.Show us the international brands I have mentioned above, local e-commerce shops Kenya ziko in thousands. Tuonyeshe international brands.
,🤣🤣🤣🤣
Lakini kwenye official webpage yao wamesema Kenya ni dealers tuHizo land cruiser ziko assembled and fabricated in Kenya. Bongolalas are always in denial. 😂 😂 😂
What is the meaning of this ? Kindly clarifyHazijafanywa Arusha that's why imeandikwa proudly produced in Kenya. Ama siku hizi Arusha Iko Kenya? 😂😂😂
View attachment 2838027
Umeelewa swali langu ? Au unajibu tu?Aliyewakataza kuzibroaden hapo Arusha ni nani? Why did they choose to do it Kenya and not Tanzania? Tafakari hayo
All made in TanzaniaIn case the witches in here wants to forget.
View attachment 2838006
View attachment 2838007View attachment 2838009View attachment 2838010View attachment 2838011
We mzee fala sana, nimecheka kiboya sana……😂😂😂😂Sasa Tz utaifananisha na Kenya kwenye purchasing power? Mm huku mtaani huwa tunatumia neno Kenya au Ethiopia kama njaa, yani mtu akikuuliza 'oyaa vipi mwanangu una jero apo' ukimjibu 'kama Kenya mwanangu' au 'kama Ethiopia mwanangu' manaake hana kitu yani njaa tu.
Ni kampuni ya Tanzania hiyo RSA -Rajinder Singh Africa wako Moshi ndio head office yao.Lakini kwenye official webpage yao wamesema Kenya ni dealers tu
Achana nae huyo mbishi tuu hawa jamaa nakunywa nao sana whisky nikienda moshi ni washkaji zangu sana hivyo wala simshangai huyo mkenya anavyojinasibu na investment za Tanzania.What is the meaning of this ? Kindly clarify View attachment 2838182View attachment 2838183