Gap ipi unazungumzia ya kwenye karatasi au?Hizo hesabu za vitu vingi zitafika Bongolala mwaka gani?
Kila mwaka gap inapanuka tu.
2010
KE GDP - $45 B
TZ GDP - $32 B
Gap: $13 B
2015
KE GDP - $70
TZ GDP - $47
Gap : $23 B
2020
KE GDP - $100
TZ GDP - $62
Gap: $38 B
2021
KE GDP - $110
TZ GDP - $67
Gap: $43 B
Vizuri,Kama ni hivyo 😂For your information, barabara iliyo chini ya expressway, iko under construction saa hii.
Iliharibiwa sana na ujenzi wa expressway.
Hizi ni hesabu za kiuchumi sio sawa na kula githeri au mokimooPunguza unachovuta.
Kenya na Tazania kwa growth rate projection zinasema tuko bumper to bumper.
Ili TZ ifikie Kenya by 2028, Kenya lazima growth rate yake ikuwe 0%.
Dah hawa watu vituko kweli.
😅😅😅 kicheko tu hii nini unaongea ww chiziFor your information, barabara iliyo chini ya expressway, iko under construction saa hii.
Iliharibiwa sana na ujenzi wa expressway.
Hivi nani governor wa BOT vile? naomba CV yake kwanza! Mama anajua kwanini kaweka yule mpuuzi pale!
Gap ipi unazungumzia ya kwenye karatasi au?
Leta picha wacha maneno, hiyo picha tumekuwa tukiiweka miaka miwili sasa pako hivyo hvyo. Mnasubiri investor awawekee pavement wajinga nyinyi.
Hela zote zile za mikopo wamepeleka wapi? Yaani hata $500 ni za kuomba kabla ya November??And this is true nani wakumwambia ukweli mwigulu au nape au makamba?? Watu wamegeuka kua machawa na kazi ya chawa ni kusifia tu hata kama wanona tunaelelekea kwenye moto wao kusifia tu
Nchi haieleweki kabisaa na ukweli utasemwa kama kuna mazuri yatasemwa pia lakini kwa sasa nchi inayumba sana na huu ndio ukweli leo mtu anafunga kituo cha mafuta kisa anasubiri bei ipande alaf tuko hapa tunakenua meno sijui uchawa sijui nn
Alaf mwengine anaomba world bank 500m usd kwa ajili ya ku cover pengo la usd nchini serious??? Alaf ndio waziri wa fedha alaf tuko hapa tunakenua meno kabisaa eti tukae kusifia ??
Mzee baba upoAnd this is true nani wakumwambia ukweli mwigulu au nape au makamba?? Watu wamegeuka kua machawa na kazi ya chawa ni kusifia tu hata kama wanona tunaelelekea kwenye moto wao kusifia tu
Nchi haieleweki kabisaa na ukweli utasemwa kama kuna mazuri yatasemwa pia lakini kwa sasa nchi inayumba sana na huu ndio ukweli leo mtu anafunga kituo cha mafuta kisa anasubiri bei ipande alaf tuko hapa tunakenua meno sijui uchawa sijui nn
Alaf mwengine anaomba world bank 500m usd kwa ajili ya ku cover pengo la usd nchini serious??? Alaf ndio waziri wa fedha alaf tuko hapa tunakenua meno kabisaa eti tukae kusifia ??
Nambie we mama 😅Mzee baba upo