Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kimara ya Nairobi..,
1638885863206.png

1638885922906.png

1638885877054.png

1638885902295.png
 
Me naona kama hamuijui historia ya Tz ni bora tu mnyamaze, au kama mpo hapa tubishane tuu na tusifikie muafaka sawa endeleeni kujifurahisha hamkatazwi .. by the way hii ndio historia ya viongozi wa tz mnaweza kifunza kitu hapa πŸ‘‡. . . . . Mkitaka kujua kuhusu historia za maisha yetu, tuulizeni tutawahadithia .. sio mnahangaika kutusemea uongo uongo

Achaneni na yetu, tutaachana na yenu.
 
Ila we jamaa ni chizi wewe, nakushangaasana, nakucheka mno na nakudharau pia, unavyopiga kelele eti Tanzania nature is taking care of us πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ haya maneno watakao kuelewa ni matahira wenzako tu,. Nikuulize maswali marahisi, kwahyo kwasababu ya nature basi mahindi, mpunga, mtama, mbogamboga, matunda n.k vinajiotea vyenyewe sindio.? πŸ˜‚πŸ˜‚ We wenzako wanakufira wewe si bure.. sisi na nyinyi wote tunaaardhi yenye rutba, ajabu ni kwamba sisi ndio wazalishaji na nyinyi ndio mnanunua mostly kutoka kwetu, yet unaita sisi malazy πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚u must be fucking crazy, no wonder mnapewa misaada ya chakula na mataifa ya middle East.. huko kwenu hakuna chakula kwasababu nynyi ni wazembe, mmemuuzia ardhi mzungu azalishe chai na matunda akauze kwao, halaf Maskini wapumbavu wengi Kenya wakabaki na kulalama eti Tz inabebwa na nature.πŸ˜‚πŸ˜‚ Unafkiri mazao yanajipanda yenyewe mbwa wewe.? Kwamba yanajitunza yenyewe yakomae vizuri alaf sisi tunavuna tu.? .. watu wanawekeza nguvu, jasho, muda, pesa n.k kwenye kulima ili hatimae tupate mavuno mengi, tupate chakula, exra kuwaazia nyinyi wapuuzi Ili tupate fedha za kumsomeshea watoto na kulipa Kodi kwaajili ya taifa... Muache visingizio eti nature inatubeba .

Wao wakulima fukara hawapati faida yeyote ya maana wewe πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ pesa kidogo ya chumvi, mafuta na kuvaa tu., angalau., yaani uko na uelewa kidogo sana, when I say nature is taking care of u wewe umechukulia literal 100%.., kilaza kwa ubora wake πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ ., farming kwenu is subsistence kila eneo.., not mechanized at all, ufukara! Nikama wanyama pori tu, wanakula kisha wanapo kunya wanasambaza mbegu, na pale penye ardhi yenye rotuba yanamea bila matatizo, kisha mimea ama matunda yana sambaa.., hawana tofauti mbali na nyinyi., πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚
Hiv kuna mtu humu ndani amewahi kulielewa hili chizi Don YF .. Angalia reasonings zake hapo juu, alaf eti linasema eti lina IQ kubwa πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚. Mamaake akiona huu upumbavu anaouongea mwanae hapa anaweza akamuachia laana, mana ni hasara tupu
 
Lililo dondoka goba ni hili, ni sehemu ya shops, hapo nyuma, waliweka nguzo ndogo sana. Ika vunjika na kuangukia hiyo nyumba nyuma.

Naona wakenya wandhani kilicho anguka ni kama maghorofa yao.
IMG_20211207_153115.jpg
 
Back
Top Bottom