Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Unatambua kuna line ya kv 400 inakuja namanga ipandishe kenya ?

Kenya itauziwa umeme na Tanzania

Sasahivi Tanzania inazalisha 1601 MW
Ikiamua ku triple ikazalisha 4803 Mw inawekezana ndani ya miezi michache

Tatizo umeme wa gesi ni gharama kuliko Chanzo cha maji Kwahio itatumia chanzo cha maji
Mwaka huu bwawa likianza kazi jumla ya uzalishaji utafikia 3700 Mw
Story za tuta....ita peleka Tandale
 
render design🤣🤣
Do you remember you said the same "render" even when we posted this project?
2992695_1636379969933.png

Na Ni ngapi umesema render mwishowe zinajengwa?
 
Tuipiku mara ngp, now viongozi wenu wanakuja kuchukua maarifa Tz, Wakenya wameanza kufurika Muhimbili for treatment, unataka nini cha zaidi, km umeme tutawauzia na electrical appliances mtakuja kununua huku japo mlishaanza ku import transformers from Tz, cc tulianza nyinyi mkafuata now tumerudi

Sent using Jamii Forums mobile app
Mtupiku kwenye GDP
Mtupiku kwenye Human Development Index
Mtupiku kwenye middle-class population
Mtupiku kwenye manufacturing sector
Mtupiku kwenye number of poor population
Mtupiku kwenye mambo muhimu Kijana

Mambo ya sijui eti mnatuuzia transformers ni mambo ya kawaida sana coz that's bilateral trade, just the same way sisi pia tunawauzia.
 
Mtupiku kwenye GDP
Mtupiku kwenye Human Development Index
Mtupiku kwenye middle-class population
Mtupiku kwenye manufacturing sector
Mtupiku kwenye number of poor population
Mtupiku kwenye mambo muhimu Kijana

Mambo ya sijui eti mnatuuzia transformers ni mambo ya kawaida sana coz that's bilateral trade, just the same way sisi pia tunawauzia.
Kaa kimya, haya yote uliyoyataja hayawezi kupatikana kama una njaa, ma slums, life insecurity, poor infrastructures, dirty cities, diseases, corruption, lack of jobs, thefts, tribalism and any kind of evils which hindering the growth of your country.




Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom