Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Whole Tanzania can be farmed and yet you still hear things like mulnutrition,Eating Albinos,etc๐ŸคฎAnd you have big spaces for farming???????
Laana ya kiaina., yaani ni ujinga wa kupindukia.., just look at Dar? average standards of living ni ufukara tu.,
 
Kunyaland hunger SI Unit
View attachment 1837230
bongolala low IQ unit ๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡
2740269_2504222_IMG_20200901_023949_876.jpg
 
Nchi ina inflation of over 6% alaf wako hapa wanapanua makalio yao ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡

Sio kila inflation ni biting,na in fact inflation ndogo kwa Nchi maskini kama za Africa ni hasara kuliko kuwa na tija.

Inflation ikifikia double digits ndio tatizo lakini hiyo ya 6% ni health Sana kwenye uchumi kuliko ya 3-5%
 
Unakumbuka time flani mwaka jana ukikana hii picha ya Kipawa Ward Dar na kusema si Dar?
View attachment 1836123
Bado utaendelwa kuikana leo pia? Ona hizo nyumba nzuri za kupendeza macho tena zenye ubora ya hali ya juu zilivyopangwa zikapangika! Kisha angalia jinsi kuna nafasi ya kutosha hadi watu wameegesha magari zao nne ya milango zao. Maisha uswazini inapendeza jamani!
Wasikubabaishe hao mataga masalia ya mwendazake,Dar karibu yote na Tzn kwa ujumla ni slums tena bora Mikoani sio huko Dar.

Tofauti yake na Kenya ni kwamba huko Nairobi kumegawanywa slums za maskini ambao ni maskini kweli na mitaa ya wenye nacho kwa hiyo kiujumla Mji unakuwa vizuri sasa huku Tzn ni mchanganyiko,mbuzi na mbwa,wenye nacho na maskini kiasi kwamba Mji wote unaonekana ni hovyo kwa sababu maskini ndio wengi.
 
Nairobi developed area(towns) is far bigger than Dar es salaam developed area!., Dar ni udongo tu, population na makazi uchwara ndio ukubwa wake., but towns.., nope!!..,
Kwa ujenzi holela wa Dar na ukuaji mkubwa wa watu ,by 2030 itakuja kuwa mega city ya hovyo kabisa dizaini ya Lagos.

Kinshasa ni mega city lakini hakuna upumbavu wa slum Jiji zima wanajitahidi kupima makazi yao kwa levels tofauti za kipato.
 
Please tell your people to stop being lazy and remove the hyacinth from the shores of the lake. Yes, we only have 4% but we benefit from the lake more than Tz.
Umemuonyeshe hyacinth harvester machine, akashikwa na aibu, sasa anabadilisha topic ya umilikaji wa ziwa? ๐Ÿ˜‚ ๐Ÿ˜‚ ๐Ÿ˜‚ ๐Ÿ˜‚ ๐Ÿ˜‚ ๐Ÿ˜‚ Dawa iliingia aisee! ๐Ÿคฃ
 
Umemuonyeshe hyacinth harvester machine, akashikwa na aibu, sasa anabadilisha topic ya umilikaji wa ziwa? ๐Ÿ˜‚ ๐Ÿ˜‚ ๐Ÿ˜‚ ๐Ÿ˜‚ ๐Ÿ˜‚ ๐Ÿ˜‚ Dawa iliingia aisee! ๐Ÿคฃ
Hawana hiyo harvester na ndio maana hyacinth inawakula bila huruma.
 
Back
Top Bottom