Mac Bully 001
JF-Expert Member
- Jun 26, 2012
- 6,539
- 12,943
Garrisa
Wajir
Taita
Marsabit
Wajir
Taita
Marsabit
Nyinyi mmejituma kiasi gani kutoka kwenye hili kundi?View attachment 1837502
Huwa neno umasikini ukitajwa popote humu unaumia balaaNyinyi mmejituma kiasi gani kutoka kwenye hili kundi?View attachment 1837502

World Food Program report
Wangekuwa na uhakika was kula hawangekuwa wanakuja Kenya kuomba kwa streets.Huwa neno umasikini ukitajwa popote humu unaumia balaa![]()
![]()
Masikini wa Tanzania ana uhakika wa kula na maisha mara mia zaidi ya masikini wa kenya failed state.
Utabaki unatembeza hiyo screeshot miaka na miaka huku njaa ikiwatandika kila mwaka.
Tunadeal na vitu kwa ground hatudeal na makaratasi.
Sasa masikini atoe hela wapi ya kuishi maisha mazuri? Mtu kama ni masikini ni masikini. Stop sugarcoating things here. The number of people living below a dollar a day in Tanzania is much higher than Kenya na bado uko na nguvu ya Ku sugarcoat things hereHuwa neno umasikini ukitajwa popote humu unaumia balaa![]()
![]()
Masikini wa Tanzania ana uhakika wa kula na maisha mara mia zaidi ya masikini wa kenya failed state.
Utabaki unatembeza hiyo screeshot miaka na miaka huku njaa ikiwatandika kila mwaka.
Tunadeal na vitu kwa ground hatudeal na makaratasi.
Wangekuwa na uhakika was kula hawangekuwa wanakuja Kenya kuomba kwa streets.
Msinililie mimi mlilieni anayesababisha mfike hapa.Sasa masikini atoe hela wapi ya kuishi maisha mazuri? Mtu kama ni masikini ni masikini. Stop sugarcoating things here. The number of people living below a dollar a day in Tanzania is much higher than Kenya na bado uko na nguvu ya Ku sugarcoat things here



Nescafe yenyu pia? 🙆🏾♂️😂 😂 😂Alafu wanataka kulinganisha na Dar![]()
Jamaa aliyepewa tender turkana naona yupo serious, au jamaa anapelekwa mbio labda.manake wengi miradi ya sehemu km hzo wanatumia mbinu za upigaji tuTukiwaambia Kenya development ni Kila mahali wanadhani tunajoke. This is Turkana county, in Tanzania barabara kama hizi lazima ufike Dar
View attachment 1837175View attachment 1837176View attachment 1837177View attachment 1837178
Amazing..hii picha nitaisave
Karne ya 21 bado utapia mlo unawamaliza?Na hutoona wakunya wenzake wakimsahihisha
Wanapenda fake life kuliko kujituma kukomesha njaa inayowatandika kila mwaka tena karne hii ya 21.
Msinililie mimi mlilieni anayesababisha mfike hapa.
Hiyo barabara ni part of lapsset so lazima waipeleke tu mbio. Hiyo ndio inafaa ifike South Sudan.Jamaa aliyepewa tender turkana naona yupo serious, au jamaa anapelekwa mbio labda.manake wengi miradi ya sehemu km hzo wanatumia mbinu za upigaji tu
Wewe ni mtanzania?Wasikubabaishe hao mataga masalia ya mwendazake,Dar karibu yote na Tzn kwa ujumla ni slums tena bora Mikoani sio huko Dar.
Tofauti yake na Kenya ni kwamba huko Nairobi kumegawanywa slums za maskini ambao ni maskini kweli na mitaa ya wenye nacho kwa hiyo kiujumla Mji unakuwa vizuri sasa huku Tzn ni mchanganyiko,mbuzi na mbwa,wenye nacho na maskini kiasi kwamba Mji wote unaonekana ni hovyo kwa sababu maskini ndio wengi.
Naziona dalili za Zambia zikianza kwa majirani! Yaani unafungua mdomo kuongelelea MCHINA, yule bwana yenyu? 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 👇 👇Kazi ya Mchina Kunyaland utaijua tu! Shaghalabagala...!! Tuta huku tuta kule katikati wachia mama Ngina na Wakunya woote!!
Tayari inamong'onyoka! hamna landscaping wala drainage system ya maana...!!
Halafu flying toilets wako hapa wakijitamba!
![]()
Njaa mbaya sana.Huko Tanzania kwani bado mko 2019? No wonder Tanzania is always behind in everything![]()
Jamaa kumbe wanatumia NescafeNescafe yenyu pia?![]()
![]()
![]()
Malnutrition = TzHunger = Kenya