Papi Chulo
JF-Expert Member
- Jun 8, 2018
- 6,260
- 7,389
Oooohh shit Nairobi isn't fair at all,what kind of life!
Oooohh shit Nairobi isn't fair at all,what kind of life!
I will keep in touch๐๐๐๐Please update me about Mumbai if you don't mind.
HahahahaaHahaaaa the picture of the year!naona hadi nguruwe wamekata tamaa ya maisha,kamanda naye hapo pembeni anasubiri commuter aende zake cbd
Umesahau DMDP, Kajenge rd inapanuliwa, Akachube, mabatini, kwa mtogole, mawasiliano na nyingine kibao zina pigwa mkeka wa maana. Barabara ya Sinza inapanuliwa nakuwa na 4 lanes.Sijui 2020 itakuaje dah
1) modern electric bullet train in africa
2) modern terminal building in east and central africa, termina 3
3) expansion dar es salaam port will be complete
4) BRT phase 2 more than 20km
5) ubungo interchange baba yao
6) stiglers gorge biggest dam in east africa 2b usd with capacity of 2100MW
7) kinyerezi 3 with capacity of 400MW
8) morogoro highway 16km
9) new salender bridge with interchanges 7km
Etc Project zote hizo nilizotaja ziko under construction
Itakua safiUmesahau DMDP, Kajenge rd inapanuliwa, Akachube, mabatini, kwa mtogole, mawasiliano na nyingine kibao zina pigwa mkeka wa maana. Barabara ya Sinza inapanuliwa nakuwa na 4 lanes.
so so sad to hear that ma'am.CCM iondoke madarakani, Kwa miaka zaidi ya 50 wamedidimizs uchumi. Mpaka sasa hivi maji na umeme na vitu vya kifahari. Kula mayai na maziwa ni anasa.
Lol.... Maji na umeme.so so sad to hear that ma'am.
Yaani kule ng'ambo kuna mabalaa sana
Hii imekaa vyema sanaUmesahau DMDP, Kajenge rd inapanuliwa, Akachube, mabatini, kwa mtogole, mawasiliano na nyingine kibao zina pigwa mkeka wa maana. Barabara ya Sinza inapanuliwa nakuwa na 4 lanes.
yani mnatumia lorry kama hearse ..alafu mnailauch..hamna pesa ya kununua modern hearse....buda enyewe LDC ni LDC wasee inafaa wakam waicheki hiiAsanteni raia wote wa russia kwa kutupa heshma kubwa sana
Kwa kule kenya kaka zao vibaka wanakimbiza watalii namapanga kisha wanapora usafiriAsanteni raia wote wa russia kwa kutupa heshma kubwa sana
Nani anatumia lorry??? Hebu tuoneshe unafkiri sisi tunatumia chai maharage๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐yani mnatumia lorry kama hearse ..alafu mnailauch..hamna pesa ya kununua modern hearse....buda enyewe LDC ni LDC wasee inafaa wakam waicheki hii
Mikocheni
mikocheni A๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐
hadi mnakua na sherehe ya kulauch canter kubeba maiti..yani MP mzima ananunua lorry insted ya hearse . yani leo umejipiga own goalNani anatumia lorry??? Hebu tuoneshe unafkiri sisi tunatumia chai maharage
View attachment 958770View attachment 958771