Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Sijui 2020 itakuaje dah[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
1) modern electric bullet train in africa
2) modern terminal building in east and central africa, termina 3
3) expansion dar es salaam port will be complete
4) BRT phase 2 more than 20km
5) ubungo interchange baba yao
6) stiglers gorge biggest dam in east africa 2b usd with capacity of 2100MW
7) kinyerezi 3 with capacity of 400MW
8) morogoro highway 16km
9) new salender bridge with interchanges 7km

Etc [emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji1241][emoji1241][emoji1241][emoji1241][emoji1241] Project zote hizo nilizotaja ziko under construction
Umesahau DMDP, Kajenge rd inapanuliwa, Akachube, mabatini, kwa mtogole, mawasiliano na nyingine kibao zina pigwa mkeka wa maana. Barabara ya Sinza inapanuliwa nakuwa na 4 lanes.
 
Safi sana mbunge wa dodoma👏👏👏👏👏👏👇👇👇👇👇👇


D31825BE-E7FF-4E21-9831-5D10A4A78085.jpeg
C5CBF523-B153-4F16-A771-15AE287AF936.jpeg
 
Umesahau DMDP, Kajenge rd inapanuliwa, Akachube, mabatini, kwa mtogole, mawasiliano na nyingine kibao zina pigwa mkeka wa maana. Barabara ya Sinza inapanuliwa nakuwa na 4 lanes.
Hii imekaa vyema sana
 
Asanteni raia wote wa russia kwa kutupa heshma kubwa sana[emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji116][emoji116][emoji116]

[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji21][emoji21][emoji21][emoji21][emoji21][emoji21] yani mnatumia lorry kama hearse ..alafu mnailauch..hamna pesa ya kununua modern hearse....buda enyewe LDC ni LDC wasee inafaa wakam waicheki hii
 
Asanteni raia wote wa russia kwa kutupa heshma kubwa sana[emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji116][emoji116][emoji116]

Kwa kule kenya kaka zao vibaka wanakimbiza watalii namapanga kisha wanapora usafiri[emoji1][emoji1][emoji1]

Hebu tuendelee kuyaona yajayo kwani huwa yanafurahisha[emoji1][emoji1]
 
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji21][emoji21][emoji21][emoji21][emoji21][emoji21] yani mnatumia lorry kama hearse ..alafu mnailauch..hamna pesa ya kununua modern hearse....buda enyewe LDC ni LDC wasee inafaa wakam waicheki hii
Nani anatumia lorry??? Hebu tuoneshe unafkiri sisi tunatumia chai maharage😂😂😂😂👇👇👇👇👇👇👇👇
4AF30ED4-2BC2-4B33-82E3-A917C262C43F.jpeg
97C7CAD2-FEAB-4736-8080-5E5107E06217.jpeg
 
Nani anatumia lorry??? Hebu tuoneshe unafkiri sisi tunatumia chai maharage[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]
View attachment 958770View attachment 958771
[emoji6][emoji6][emoji6][emoji6][emoji6][emoji6][emoji6][emoji6][emoji6][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38] hadi mnakua na sherehe ya kulauch canter kubeba maiti..yani MP mzima ananunua lorry insted ya hearse .[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji21][emoji21][emoji21][emoji21][emoji21][emoji21][emoji21][emoji39][emoji39][emoji39][emoji39][emoji39][emoji39][emoji39][emoji6][emoji6][emoji6][emoji6][emoji6][emoji6][emoji6] yani leo umejipiga own goal
tapatalk_1544167945869.jpeg
 
Back
Top Bottom