Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Nimecheka sana. Kweli kabisa I see yaani jamaa hata ukiangalia vizuri pozi lake kwenye kiti amekaa mkao wa kunyanyuka muda wowote maana gari ya bosi wake any time inaweza piga honi getini! 😀 😀 😀 😀 😀 😀
design kavaa T-shirt ya promotion ya Wasafi TV halafu yupo humu anaponda TZ huku Wasafi TV wanamvisha!
 
Hapa ukitaka wachanginyikiwe na ku-panick, JPM aitishe press na kutangaza kufunga mipaka na Kenya! Kwa matatizo waliyonayo sasa kuanzia floods, locust invasion i.e. hunger na sasa coronavirus ukiachilia mbali power struggles ndani ya Jubilee, Uchumi uta-collapse! I see their debt to GDP ratio crossing 70%!


#Akilizahandshake#

CC: Zigi Rizla Kafrican Depay Yosef Festo Teargass Tony254 pingli-nywee komora096 Edward Wanjala
kikihboy nomasana, sam999, NairobiWalker, hbuyosh, msemakweli, simplemind, Kimweri, Bulldog, MK254, Kafrican, Ngongo, Ab_Titchaz, mtanganyika mpya, JokaKuu, Ngongo, Askari Kanzu, Dhuks, Yule-Msee, waltham, Mzee, mombasite gabriel, Juakali1980, Boda254, mwaswast, MwendaOmo, Iconoclastes, oneflash, Kambalanick, 1 Africa, saadeque, burukenge, nyangau mkenya, Teen-Upperhill Nairobi, kadoda11
 
i’m sure they’re taking notes rn, lazima tupambane asee, resources za kupeleka nje zipo nying sana nchini kwetu
Kaka biashara ya ndege haiko hivyo, sasa hivi route za Ulaya na Marekani zimeshikwa na mashirika makubwa kama KLM, Emirates, Qatar, ET, Fly Dubai na mengine, kumbuka hats British Airways iliamua kusitisha safari zake kuja Dar kutokana na uhaba wa abiria na mizigo, sio busara kuanza na hizo routes, very Competitive.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom