Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Yani ya kizamani km zile nyumba za old town ukazidharau

Sent using Jamii Forums mobile app
alaf mm najenga another house of my dream😂😂😂👇👇👇 hatuwez fanana
92A209FA-252C-4CD5-AC1F-9231587DE0BF.jpeg
0A20D790-96E7-4A58-A67A-6E170A897289.jpeg
93684C06-48E7-46A2-87F9-FFF259454C66.jpeg
0F7A8958-C6BB-42D3-8709-FFADAF4692D9.jpeg
5C459095-909D-4B8E-8A35-9DDAC0023A84.jpeg
EFDF07C8-99E0-48E0-8235-7B4F942B8A75.jpeg
 
Huenda ikawa hatupo level moja manake mtu kujuana wala sio mitandaoni...

Uhalisia wa mtu ni mpka uishi naye

Sent using Jamii Forums mobile app
so usipende sana kuona kila mtu rika yako alaf usifkiri watu wamekaa kimya au tunavobishana humu kwamba tuko mizani moja 😂😂😂😂 mm sina akili ya kukaa kwenye appartments nisiwe na akili ya kutojenga nyumba ya dream yangu 😂😂 nilikwambia huku watu hujenga nyumba zao na kumiliki ardhi zao
 
yani ukiishi gorofani hata gorofa yako pia ni appartments hahaha kweli ni tabia ilioko damuni😂😂😂😂 so mumezoea sana kupanga na kukodisha appartments mukiulizwa nyumba za ndoto zenu munakimbia humu ndani
 
Yani uliniletea hyo building basi ukaona eti nitashtuka ya kwamba icho anaishi ghorofani..hahahaa!!ichoboy leo umenimaliza walaiView attachment 1448389

Sent using Jamii Forums mobile app
😂 😂 😂 I thought Dar kila mtu anamiliki nyumba yake! Kumbe the Ichoboys of this world wanaishi tu kwenye maboksi as they call them apartments na hii kelele yote 😂 😂
 
Akirudi nitag, af hapo ndipo anapolia lia nicxie, yn wao wanataka tuwe tunapost nyumba za watu tu Wakenya bhn
wanabakia kupost estate za investors ukiwauliza nyumba za ndoto zao wanakimbia humu ndani 😂😂😂😂 yani wanamawazo yakimaskini kabisa kila gorofa kwao ni appartments😂😂😂 yani mawazo yakujenga nyumba na kumiliki ardhi hayapo kabisa kwenye medula oblongata ya mkenya 😂😂😂😂
 
Back
Top Bottom