Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi




EX1rn2pXYAAkrlU
 
Yale maeneo yetu pendwa ya the mighty slums of Nairobi mbona hujatuonyesha mkuu il tuweze fanya comparison na haya maeneo mengine ili upate justification ya kukataa kwamba 82% ya Nairobians wanakaa kwa slums?
 
i see estate if investors where are the houses dream ya wakenya unazo tuzione ili tuone sehemu amabzo wakenya wengi wanamiliki nyumba na ardhi😂😂😂😂😂

ndio maana nashangaa kuona 2.5m in kibera alone
 
Yale maeneo yetu pendwa ya the mighty slums of Nairobi mbona hujatuonyesha mkuu il tuweze fanya comparison na haya maeneo mengine ili upate justification ya kukataa kwamba 82% ya Nairobians wanakaa kwa slums?
na ndio zimebeba 80% ya wakenya halisi 😂😂😂😂😂 na hio kibera alone 👇👇

 
Yale maeneo yetu pendwa ya the mighty slums of Nairobi mbona hujatuonyesha mkuu il tuweze fanya comparison na haya maeneo mengine ili upate justification ya kukataa kwamba 82% ya Nairobians wanakaa kwa slums?
we waambie wakuoneshe nyumba za dream zao watakimbia wote humu ndani ila waambie wakuoneshe estates zinazomilikiwa na investors watakuja kama upepo😂😂😂
 
and i see upperhill, CBD,kilimani etc😂😂👇
View attachment 1448471
Unasumbuka sana kijana wa tandale. Pambana na dream house zenu. Kilimani is a residential area, just in case you didn't know. Upperhill kwenyewe pia kuna nyumba kadhaa za kuishi. It was purely a residential area a few years ago before it became what it is today but still there are so many residential houses in Upperhil . Acha kusumbuka sana na Nairobi. Bado iko mbele sana ya hiyo kijiji chenu
 
Yale maeneo yetu pendwa ya the mighty slums of Nairobi mbona hujatuonyesha mkuu il tuweze fanya comparison na haya maeneo mengine ili upate justification ya kukataa kwamba 82% ya Nairobians wanakaa kwa slums?
Huyo hanaga picha nyingine za kuaminisha watu kuwa haishi dandora, huwa ana vipicha vyake hivyo hivyo daily mpk vinachakaa
 
Unasumbuka sana kijana wa tandale. Pambana na dream house zenu. Kilimani is a residential area, just in case you didn't know. Upperhill kwenyewe pia kuna nyumba kadhaa za kuishi. It was purely a residential area a few years ago before it became what it is today but still there are so many residential houses in Upperhil . Acha kusumbuka sana na Nairobi. Bado iko mbele sana ya hiyo kijiji chenu
uehhehe huku kumiliki ardhi na nyumba ni kitu cha kawaida sana ambacho kwenu ni ajabu kabisa 😂😂😂😂 iko mbele kwenye slums labda mkiambiwa kuleta nyumba za wakenya za ndoto zao munakimbia kama mbuzi mlichobakia nyinyi kupost estate za investors na kujifurahisha nazo wakat investor mmoja anaeza kumiliki hata estate 10 😂😂😂

ndio maana hua sishangai kuskia kibera alone ina 2.5 m kenyans 😂😂👇👇👇👇

 
uehhehe huku kumiliki ardhi na nyumba ni kitu cha kawaida sana ambacho kwenu ni ajabu kabisa iko mbele kwenye slums labda mkiambiwa kuleta nyumba za wakenya za ndoto zao munakimbia kama mbuzi mlichobakia nyinyi kupost estate za investors na kujifurahisha nazo wakat investor mmoja anaeza kumiliki hata estate 10

ndio maana hua sishangai kuskia kibera alone ina 2.5 m kenyans

Hawaipendi Kibera km co kwao vileee
 
Yale maeneo yetu pendwa ya the mighty slums of Nairobi mbona hujatuonyesha mkuu il tuweze fanya comparison na haya maeneo mengine ili upate justification ya kukataa kwamba 82% ya Nairobians wanakaa kwa slums?
Ndio hizi 😂 😂
Screenshot_20200512-103234.png
Screenshot_20200327-142010.png
Screenshot_20190801-183601.png
Screenshot_20200218-010839.png
Screenshot_20190928-132332.png
Screenshot_20190801-151402.png
 
Back
Top Bottom