komora096
JF-Expert Member
- Sep 26, 2018
- 20,548
- 5,647
mumezoea sana appartment sindio 😂😂😂😂👇👇👇 yani hamuna maisha zaidi kukodisha sasa kila munachokiona ni appartment
Uongo ni tabia yaoHaha haha ichoboy alimdaka akaacha kuota BRT, alijisahau akadhani yupo nairaland![]()

masaki sio level yenu bado sana masaki ni kubwa kuliko mombasa yote 😂😂😂
Si hzo ni appartments tu jomba mbona tena unabadili gear...mumezoea sana appartment sindioyani hamuna maisha zaidi kukodisha sasa kila munachokiona ni appartmentView attachment 1448371


Kuna appartments ngong utazikuta masaki pia, au unabishamasaki sio level yenu bado sana masaki ni kubwa kuliko mombasa yote![]()


hahaha unaona sasa akili yako ilipoishia hahahaha kwamba kila kitu kwenu ni appartment ndoto ya kumiki ardhi hamuna na hamutakua nayo😂😂😂😂Si hzo ni appartments tu jomba mbona tena unabadili gear...
Yani mara ya kwanza ulipiga picha hilo jengo la kwanza ukafikiria nitashtuka
Sent using Jamii Forums mobile app
pamabana na ilala kwanza ukimaliza nayo let me know 😂😂😂😂
Haya tuletee unapokaa mbuzi! Naskia wewe nii dweller wa Kariobangi!Si hzo ni appartments tu jomba mbona tena unabadili gear...
Yani mara ya kwanza ulipiga picha hilo jengo la kwanza ukafikiria nitashtuka
Sent using Jamii Forums mobile app


😂😂😂😂 wamekariri kupanga yani kila kitu machoni mwao ni appartmentsHaya tuletee unapokaa mbuzi! Naskia wewe nii dweller wa Kariobangi!
Usi change gear bana ichoboy, hizi ni appartments banahahaha unaona sasa akili yako ilipoishia hahahaha kwamba kila kitu kwenu ni appartment ndoto ya kumiki ardhi hamuna na hamutakua nayo![]()
this is our house little bro 😂😂👇👇👇Eti sisi hku kila mtu anaishi katika ka mjengo ka choice kumbe na nynyi mnaishi katika hzo hzo appartments mnazozipondaga
Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona basi mwenzako apige domo humu km nynyi hko hamuishi kw appartments..Haya tuletee unapokaa mbuzi! Naskia wewe nii dweller wa Kariobangi!
narudia kukwambia 👇👇👇😂😂😂Mbona basi mwenzako apige domo humu km nynyi hko hamuishi kw appartments..
Kumbe na yeye yumo
Sent using Jamii Forums mobile app
this is our house little bro 😂😂👇👇👇
hatujazoea kupanga mbuzi wewe na ninajenga another house wachana na hiiView attachment 1448375
Hahaha!!unanitukana kisa nasema ukwelithis is our house little bro
hatujazoea kupanga mbuzi wewe na ninajenga another house wachana na hiiView attachment 1448375


Yani ya kizamani km zile nyumba za old town ukazidharauthis is our house little bro
hatujazoea kupanga mbuzi wewe na ninajenga another house wachana na hiiView attachment 1448375


ndio hzo ni building zimeshikana but our house ni hii👇👇👇😂😂Usi change gear bana ichoboy, hizi ni appartments banaView attachment 1448374
Sent using Jamii Forums mobile app