They work night and day. The Committee relocated to the new offices at Konza and now work is serious. Those photos were taken yesterday.Wao that's cool,is completely new fashioned city,the silicon savanna
Sasa inaukubwa gani hiki chuo?biggest university is UDOM.UON,biggest in east and central Africa
View attachment 1446084View attachment 1446085View attachment 1446086View attachment 1446087View attachment 1446088
Eiish mchanga tupu,hamuwezi afford tarmac,kukinyesha hapo naona vituko
Uswazi on the point
tulia sindano iingie vzr💉💉💉😂😂😂Single street,kwingine ni mchangani,LCD original
culture ya huku ni tofaut kabisa na kenya, kenya ardhi hakuna ndio maana unaona anaeza kuja mgeni aka invest estates alaf akaacha wakipangisha lakini akili ya kumiliki ardhi na kujenga haipo kwenye ubongo wa mkenya, hebu chukua nafas yako siku moja uende maeneo ya chamanzi mpaka mbande alaf zunguka mpaka utokee chanika ukaone watu walivoangusha madude ndio utafahamu nini tunazungumza hapaYaan Dar ukiacha hizi what we call our dream houses lakini bado kuna massive low income people still wanabanana uswahilini which is ndio nakubali ni bora kuliko slum za wakora ila ukiangalia jamaa kuhusu malazi wametuacha hatua kadhaa, ila sio mbaya tukiendelea kukaza....
look at their estates ni superb, tunaweza fanya hizi nyumba zetu za uswazi ziwe at least kama zile za Pipeline Estates.....
leo dawa imeingia vyema 👏👏💉💉👏Dyo hii sasa Morocco without makeup 😱 😂
na wapi nyumba za wakenya dream house zao??? hzi tunafahamu ni investors projects wapi nyumba za wakenya za ndoto zao😂😂Nyayo estate
View attachment 1446629
tatizo ufisadi umezidi mkandarasi akichukua pesa tu kashasahau mkatabaHapa lazima zitawekwa mkuu.
Lakini hili jambo la sidewalks Kenya sijui. Kuna tatizo mahali na wahandisi wa humu nchini
where is konza construction going on wanjala usifanye watu kama watoto humu ndani😂 hvi konza mumejenga nn leo zaidi ya miaka 10They work night and day. The Committee relocated to the new offices at Konza and now work is serious. Those photos were taken yesterday.
They are working faster as the Tech University of Korea is about to start construction in coming months. One pic I posted shows construction of Data Center
View attachment 1446713
Going to be the biggest modern and state of the art in Africa.
Andika ueleweke unacho sema siyo unaandika kama unataka kuzaaYaan Dar ukiacha hizi what we call our dream houses lakini bado kuna massive low income people still wanabanana uswahilini which is ndio nakubali ni bora kuliko slum za wakora ila ukiangalia jamaa kuhusu malazi wametuacha hatua kadhaa, ila sio mbaya tukiendelea kukaza....
look at their estates ni superb, tunaweza fanya hizi nyumba zetu za uswazi ziwe at least kama zile za Pipeline Estates.....
Andika ueleweke unacho sema siyo unaandika kama unataka kuzaa
Send by APOLO 1





nimecheka sana hii commentHili jengo nalikubali sana. Ni design huwezi pata Afrika nzima. Kama lingekuwa posta ingekuwa kheri. Hapa wakipolijenga hapana. Huliendani na maandhari
Alimaanisha hzo ndio size yakocasablanca nayo ni club au ushuzi hebu jaribu uonejaribu tu alaf uone kama utakaa humu



Leta ushahidi wapi serekali ilisema itajenga electric trainNimecheka aise!