ichoboy01
JF-Expert Member
- Mar 6, 2017
- 82,204
- 163,861
inategemea na investment yenyewe kwanzaKwn profits/loss accounts huaga zinatolewa baada ya miaka mingapi vile katika kampuni
Sent using Jamii Forums mobile app
inategemea na investment yenyewe kwanzaKwn profits/loss accounts huaga zinatolewa baada ya miaka mingapi vile katika kampuni
Sent using Jamii Forums mobile app
ngariba haogopi mkojo imefika mahala pake😂😂😂😂
kwanza unatakiwa ujue ni 100% owned by gvt with 11 brand new aircraft and 3 zinakuja mwaka huu🤝🤝🤝🤝🇹🇿🇹🇿Atcl inaingiza shillingi ngapi katika serikali yenu[emoji1787][emoji1787]
Manake si lazima zilipe kodi
Sent using Jamii Forums mobile app
Atcl walinunua ndege lini mwisho[emoji1787][emoji1787]kwanza unatakiwa ujue ni 100% owned by gvt with 11 brand new aircraft and 3 zinakuja mwaka huu[emoji1666][emoji1666][emoji1666][emoji1666][emoji1241][emoji1241]
Hata ndege moja huaga haikosi profits/loss accountsinategemea na investment yenyewe kwanza
yani hvi ww ukinunua matatu unategemea turn over baada ya muda gani ???😂😂😂
Mungu wangu, kumbe wewe mweupe aisee[emoji1787][emoji1787][emoji1787]yani hvi ww ukinunua matatu unategemea turn over baada ya muda gani ???[emoji23][emoji23][emoji23]
Hyo ndio atcl[emoji1787][emoji1787][emoji1787]mwaka jana sept [emoji23][emoji23][emoji116][emoji116][emoji116]
Tanzania signs contract to buy two new Airbus planes
View attachment 1431288
Ugua pole pole jombaKama Nairobi yenu tu ilivyo mwituni (city in the jungle) aka Nai-pori.
Hahaaaa!!!we ndio wawaza hayo, mi nilichokuuliza ni mapato tu kutokana na hyo industry..lkn bado nashangaa unarukaruka tu bila kuleta chochoteBuda usijifanye hujaelewa. ingawa kama naona uko kwenye upande fulani hivi kuwa "ajiri watu wachache, airlines zipate faida kubwa na serikali ipate gawio la kutosha"
Tycoon hafanyiki ujinga km huo[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]***** angalia hio video vzr[emoji23][emoji23][emoji116][emoji116] joho ni kama mbuzi hapo
Fact...itabidi umemeza tu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji3][emoji3][emoji3] umepanic budaa
Turnover?????? Do you know what a turnover is kijana? 😂 😂 😂yani hvi ww ukinunua matatu unategemea turn over baada ya muda gani ???😂😂😂
😂😂😂😂😂👇👇👇hapa umedunda iga ufeTycoon hafanyiki ujinga km huo[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mambo km hayo sana sana hufanywa na watoto au wageni katika game
Sent using Jamii Forums mobile app
mwachie mwenzio ajibu swali alaf ntadeal na ww mzee wa BRT😂😂😂😂Turnover?????? Do you know what a turnover is kijana? 😂 😂 😂
ndio inayowatoa jasho😂😂 miaka 50 munamiki ndege tatu chakavu alaf muko hapa nye nye nye
Unaelewa maana ya balance sheet au unaongea tu mdomo mali yakoMungu wangu, kumbe wewe mweupe aisee[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kwhyo huwezi tengeneza balance sheet kisa unasubiria turnover kwanza[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sent using Jamii Forums mobile app
How will u open a balance sheet before knowing a turnover?Turnover?????? Do you know what a turnover is kijana? [emoji23] [emoji23] [emoji23]
huyo nitadeal we subiri tu😂😂😂 kama jana nilimzima usiku hakurudi tenaHow will u open a balance sheet before knowing a turnover?