Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Wakenya niliwaambia huu mwaka utakuwa mbaya na mgumu sana kuanzia huu mwaka lazima mkili kuwa Tanzania ni baba la baba kila goti litapigwa tayari KQ imesha kufa Rwanda air nayo chali sgr imekufa kwa sababu ya korona na deni linaongezeka mchina kuchukua bandari yenu miaka michache ijayo

Send by APOLO 1
Ww huwa hawakujibu wanakuogopa sn cjui kwnn
 
Fikeni Hapa 😅🏡™️🇹🇿🌠

Photocopy Machine

FB_IMG_1587872359682.jpg
FB_IMG_1587872370276.jpg
 
Ss cjui tunashindania nn hapa, mana lengo co kuwa na mandege yasiyo na faida km kq lengo ni impact ya ROI ionekane kwny uchumi.
Yaani Kenya pamoja na kuwa na ndege 3 na lundo la mikodisho inayolitafuna shirika pamoja na kodi ya mvuja jasho wa babandogo bado hawana impacts yoyote kwenye kutoa ajira nchini mwao

Yaani sisi tunanufaika zaidi na usafiri wa anga pamoja na kua na ndege chache kuliko Kenya, tupo level moja na Ethiopia almost.
 
Yaani Kenya pamoja na kuwa na ndege 3 na lundo la mikodisho inayolitafuna shirika pamoja na kodi ya mvuja jasho wa babandogo bado hawana impacts yoyote kwenye kutoa ajira nchini mwao

Yaani sisi tunanufaika zaidi na usafiri wa anga pamoja na kua na ndege chache kuliko Kenya, tupo level moja na Ethiopia almost.
IATA inaonesha hata SA haitufiki ss hawa wapuuzi humu cjui wanaongea nn, eti wanashindania kwenda nje bila mafanikio yoyote, cc tunapiga route za ndani na bado impact yake kubwa, wao wanaenda nje lkn mavi ya kunguru, kuna mjinga hapo juu nimemuuliza km kwenda nje ni muhimu mbn hamna faida yoyote mnayopata? Anaanza kunijibu utumbo yn kashindwa kuielewa hata cmpo English
 
Ukireverse hizi data positively anticlockwise utaona ikitoka Ethiopia, Tanzania ndio inanufaika zaidi kwenye sector ya aviation in terms of employment and its peripherals.
yap unajua hata hizi charter airlines Tanzania the industry is big n has to do with how remote r our tour circuits!
 
Back
Top Bottom