Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Afadhali zetu tunazimiliki wenyewe kwa hiyo tuna maamuzi ya kupiga ruti popote, ,
Vipi hapo Kunyaland

Sasa kipindi hichi cha corona unataka ziende wapi wakati kwa ruti za ndani inapiga mzigo wa kutosha

Hii ndio raha ya kuwekeza kwenye ruti za ndani hususan kipindi hiki
Sio tu kuwekeza kwenye ruti za ndani bali pia Tz iko vzr kwny local market, watu wanapanda sn ndege humu, kenya wanategemea ruti za nje cz za ndani hamna soko
 
Mkifika hapa mnione 😅🌠🇹🇿™️🏡

FB_IMG_1587872734423.jpg
 
Punguza kulia jomba
Leo tena huamini media za kenya, imekuaje jamani

Sent using Jamii Forums mobile app
Wakenya niliwaambia huu mwaka utakuwa mbaya na mgumu sana kuanzia huu mwaka lazima mkili kuwa Tanzania ni baba la baba kila goti litapigwa tayari KQ imesha kufa Rwanda air nayo chali sgr imekufa kwa sababu ya korona na deni linaongezeka mchina kuchukua bandari yenu miaka michache ijayo

Send by APOLO 1
 
Get rid of ur nincompoop here, so u want our planes to go internationally even though local market is going on well, how abt ur KQ? doesn't it fly internationally? How much profits has it got so far? You just bragg about flying internationally for nothing poor kunyans.
Kwn atcl imepata faida lini mwisho

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakenya niliwaambia huu mwaka utakuwa mbaya na mgumu sana kuanzia huu mwaka lazima mkili kuwa Tanzania ni baba la baba kila goti litapigwa tayari KQ imesha kufa Rwanda air nayo chali sgr imekufa kwa sababu ya korona na deni linaongezeka mchina kuchukua bandari yenu miaka michache ijayo

Send by APOLO 1
Kwn mwakani bado tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom