ichoboy01
JF-Expert Member
- Mar 6, 2017
- 82,204
- 163,861
huku kila mmoja anamiliki ardhi na kujenga nyumba anayotaka yeye hatujashikiwa akili ya kwenda kupanga kwenye estates za investors 😂😂😂 munaishi hamuna hata ndoto ya kumiliki ardhi ndio hata below poverty line kenya ni kubwa sanaHebu leta five different gated communities nione kando ya hiyo umeleta hapo juu