Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Sumbawanga, Tabora, Songea,Kigoma hivyo ni vijiji vidogo vidogo. Size yake, number 15 kama Bungoma tu Kenya, hata Bungoma kubwa.

Tunongelea Kericho Town
View attachment 1428211
😂😂😂👇👇👇👇
4E8126C8-ABAB-4B90-8283-0D3F77E6D5AA.jpeg
7B0F21A2-475D-4E4A-A563-1A2A18E09A61.jpeg
 
ushasema imeendelea maana yake ilishaendelea huku dar na nairobi bado zina endelea na zina safari ndefu sana kwenye maendeleo 😂😂😂 hata tukiachilia dar kua jiji kubwa east africa bado iko mbele ya nairobi kwenye mambo ya msingi yanayowagusa wananchi moja kwa moja mark my words na ukubali mulijisahau sana
Dar iko mbele ya Nairobi kwa lipi kijana wa tandale?
 
Huna lolote. Kuokota vipicha hata hujui source. Hii kawaida huwa umeshindwa kupata jibu sasa unahangaika. ungekuwa wakujiamini ungeleta picha ya kulinganisha.
Otherwise Kericho if it was in Tanzania, it could have taken Position 3 after Mwanza and Dar. Arusha, apart from EAC hq hakuna chochote. When living in Kajiado i used to take trips to Arusha as many learners in Kajiado came from Arusha. Dusty, rusty, just like Kajiado itself.

Enjoy pics from Kericho
EDeYUcAWkAA9s0j.jpg
DMb_8vIX4AELUXK.jpg
 
Huna lolote. Kuokota vipicha hata hujui source. Hii kawaida huwa umeshindwa kupata jibu sasa unahangaika. ungekuwa wakujiamini ungeleta picha ya kulinganisha.
Otherwise Kericho if it was in Tanzania, it could have taken Position 3 after Mwanza and Dar. Arusha, apart from EAC hq hakuna chochote. When living in Kajiado i used to take trips to Arusha as many learners in Kajiado came from Arusha. Dusty, rusty, just like Kajiado itself.

Enjoy pics from Kericho
View attachment 1428260View attachment 1428261
Pambana na hii kwnz [emoji116][emoji116][emoji116]
 
Mjinga ni wewe familia zenu za kikunya,angalia mfano hiyo picha,unadhani kuna Mtanzania atakaejitoa ufahamu kudanganya kitu cha kenya kusema ni Tanzania,kama mnaweza kudanganya mengine mtashindwa vipi kudanganya hizo nyumba ziko kwenu!darasa toka lini akawa mkenya hadi mmeshupaa kudanganya!
Sasa nikikuita mjinga mbona unakasirika and that's exactly what you are? You mentioned a gated community nikakuambia kwamba hizo ziko huku Nairobi nyingi sana hazihesabiki sasa umeruka unaongelea mambo mengine which are totally different from what we were talking about. Si sasa umekubali wewe ni mjinga??
 
Level ya gated community ama level gani??? Kweli wewe kilaza. Gated community ni kitu ya kutaja mbele ya Nairobi???
uhehehehe naona umekalia kuti kavu mwenzako hajajibu ameona moto mbele unajibu wewe mzee wa BRT😂😂😂😂
 
uhehehehe naona umekalia kuti kavu mwenzako hajajibu ameona moto mbele unajibu wewe mzee wa BRT😂😂😂😂
Hebu leta five different gated communities nione kando ya hiyo umeleta hapo juu
 
Sasa nikikuita mjinga mbona unakasirika and that's exactly what you are? You mentioned a gated community nikakuambia kwamba hizo ziko huku Nairobi nyingi sana hazihesabiki sasa umeruka unaongelea mambo mengine which are totally different from what we were talking about. Si sasa umekubali wewe ni mjinga??
Mjinga ni wewe na familia yako yote,kwan huko nairobi hamna waimbaji,mbona mnadanganya watu waimbaji wa Tz ni wa kwenu,mtashindwa vipi na nyumba kusema za kwenu wewe mkibera!
 
buda, hata hio target testing haina maana kama hampo lockdown.
Is Tanzania in a lockdown? Na wale wanaopimwaTanzania wanatolewa wapi if not from quarantine centeres. Is that not target testing? Juzi mlipata 87 positive cases. Where did you get them from?
 
quarantine hatupimi mtu, mtu akionyesha dalili ndo tunapima. kuna watu wanakaa quarantines na wasipimwe
Covid-19 has an incubation period of 14 days. An infected person will show symptoms within 2-14 days after getting infected so wacha kudanganya eti hampimi mtu. Secondly, an exposed person should be tested after those 14 days regardless of whether they show symptoms or not because there are also asymptomic people so mkiwachilia tu an exposed person aende zake bila kumpima just because haonyeshi dalili za corona ni dhihirisho kwamba hamjui mnachofanya. I hope you know what asymptomatic mean

Lastly, thanks for confirming that mnafanya target testing even after saying it's useless 😂 😂 😂
 
Huna lolote. Kuokota vipicha hata hujui source. Hii kawaida huwa umeshindwa kupata jibu sasa unahangaika. ungekuwa wakujiamini ungeleta picha ya kulinganisha.
Otherwise Kericho if it was in Tanzania, it could have taken Position 3 after Mwanza and Dar. Arusha, apart from EAC hq hakuna chochote. When living in Kajiado i used to take trips to Arusha as many learners in Kajiado came from Arusha. Dusty, rusty, just like Kajiado itself.

Enjoy pics from Kericho
View attachment 1428260View attachment 1428261
Shy town
70583941_3027349194005787_3047846184950431744_n.jpg
IMG_20160220_141346_zpskwnbeap0.jpg
 
Back
Top Bottom