Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

ukitaka kuujua utajiri au uzuri wa bakhresa kwenye kusaidia jamii jaribu kuongea na wafanyakazi wake na wa METL utaona a big difference mpka kwenye maslahi yao na mazingira bora ya ufanyaji kazi, dewji ni show off nyingi tu hakuna chochote zaidi ya kuwanyonya mno wafanyakazi wake, hakuna bidhaa yke hata moja yenye quality hata kdgo (Ana kesi kibao FCC za kuchapishia bidhaa za watu) , na nina diriki kusema hawezi kumfikia hata siku moja kwa utajiri bakhresa.
Tatizo Geza kwa hii mada naona yupo upande wa Mo zaidi, hatukatai Mo ni tajiri pia ana mchango mkubwa katika jamii lkn usijaribu kumfananisha na SSB, hata kwa utajiri binafsi naamini Bakhressa yupo mbele sn ya metl, na hii inajidhihirisha wazi kuanzia products anazotengeneza, assets anazomiliki (very quality), lkn pia malipo kwa wafanyakazi wake yapo juu km utamlinganisha na Mo, ninachokiona mm ni kwamba Mo ana make sn, anatengeneza low quality products, mishahara mbuzi kwa wafanyakazi ili mradi tu atengeneze profits kubwa, hilo halipo kwa Bakhressa, hebu angalia tu ata mazingira ndani ya viwanda vyake huwezi kabisa kufananisha na Mo huo ndiyo ukweli tukubali tukatae, kuhusu kulipa kodi kubwa isiwe ndio kigezo cha kumkamua mwananchi cz itakuwa haina maana yoyote kwamba unalipa kodi kubwa lkn jamii inaumia.
 
Punguza hasira mkuu nimesema mara nyingi na sio mara zote huwa hasemi km unabisha we bisha ila huo ndiyo ukweli huwezi kumfananisha Bakhressa na matajiri wengine hapa Tz mfano mzuri ni hili suala la covid-19, je unaamini kwamba Bakhressa hajasaidia? Au ndiyo mpk usikie akijitaja mitandaoni, bac km ni hivyo utasubiri sana mzee
Mbona hiyo imetangazwa?
 
Tatizo Geza kwa hii mada naona yupo upande wa Mo zaidi, hatukatai Mo ni tajiri pia ana mchango mkubwa katika jamii lkn usijaribu kumfananisha na SSB, hata kwa utajiri binafsi naamini Bakhressa yupo mbele sn ya metl, na hii inajidhihirisha wazi kuanzia products anazotengeneza, assets anazomiliki (very quality), lkn pia malipo kwa wafanyakazi wake yapo juu km utamlinganisha na Mo, ninachokiona mm ni kwamba Mo ana make sn, anatengeneza low quality products, mishahara mbuzi kwa wafanyakazi ili mradi tu atengeneze profits kubwa, hilo halipo kwa Bakhressa, hebu angalia tu ata mazingira ndani ya viwanda vyake huwezi kabisa kufananisha na Mo huo ndiyo ukweli tukubali tukatae, kuhusu kulipa kodi kubwa isiwe ndio kigezo cha kumkamua mwananchi cz itakuwa haina maana yoyote kwamba unalipa kodi kubwa lkn jamii inaumia.
Alipe kodi zaidi ya METL basi!
 
Metl wanamsumbua sana bakhresa,bakhresa bado hajaweza kumkamata mo kwenye mauzo...metl wale ni wanyama
 
Jamaa wanawachukulia poa metl
Unajua kuna kasumba imejengeka uswahili kwavile jamaa kila Ijumaa anagawa fedha misikitini (tena peanuts)! Basi anaongelewa na wale woote short-minded, cha ajabu sijawahi sikia Bakhresa foundation! Na kama mtu anajua mambo ya Industries na value addition huwezi kushindwa kuona viwanda vya METL vina faida zaidi kwa mustakabali wa Tanzania na nchi ya viwanda na vina future nzuri zaidi maana jamaa anaingia kwenye manufacturing haswa na si biashara ya kukoboa, kutengeneza Ice cream, kuoka mikate na kufungasha!

Jamaa analima na kununua (kutoka kwa wakulima wadogo nchini) chai, sisal, coton na palm oil, then anakoboa, ana-refine cooking oil pia ana-cotton/fiber twine/ana-assembly electronic/motorciycles/bajaj pia! Si mtu wa kulinganisha na anayefanya biashara ya uchuuzi tu! Bakhresa needs to do more kusema kweli! hata boat anazoleta hazina manufaa kama technological transfer ya ujenzi wake haipo! Anapaswa afungue branch ya kampuni ile ya Australia na Greece wawe wana assembly nchini! Hivyo tu nitaanza kumheshimu!

Nikiingia page ya METL naona Mo foundation, METL foundation na Singida yetu na giving back events with visible tangible results! Janga la Corona Virus Rostam na Mo tunaona wanachofanya! Huyu Bakhresa anafanya nn as CSR? Au anagawa sanitizer na mask kisiri? Inasaidia vp kipindi hiki cha ugonjwa? Waambieni waache ubahili maana uki-google Bakhresa utaona racing toy cars majumba na all sort of opulence ! Hata kuanza kuzalisha sukari ni mpaka alivyolazimishwa ila alikuwa mmoja wa waingizaji wazuri wa sukari nchini toka Brazil! Kama anavyoingiza ngano!

Rostam



Mo Dewji





Neelkanth chemicals company (part of Motisun group)
 
Unajua kuna kasumba imejengeka uswahili kwavile jamaa kila Ijumaa anagawa fedha misikitini (tena peanuts)! Cha ajabu sijawahi sikia Bakhresa foundation! Na kama mtu anajua mambo ya Industries na value addition huwezi kushindwa kuona viwanda vya METL vina faida zaidi kwa mustakabali wa Tanzania na nchi ya viwanda na vina future nzuri zaidi maana jamaa anaingia kwenye utengenezaji haswa na si biashara ya kukoboa na kufungasha!

Jamaa ananunua na kulima chai, sisal, coton na palm oil, then anakoboa, ana-refine cooking oil pia ana-cotton/fiber twine/ana-assembly electronic/motorciycles/bajaj pia! Si mtu wa kulinganisha na anayefanya biashara ya uchuuzi tu! Bakhresa needs to do more kusema kweli! hata boat anazoleta hazina manufaa kama technological transfer ya ujenzi wake haipo! Anapaswa afungue branch ya kampuni ile ya Australia na Greece wawe wana assembly nchini! Hivyo tu nitaanza kumheshimu!

Nikiingia page ya METL naona Mo foundation, METL foundation na Singida yetu na giving back with visible tangible results! Janga la Corona Virus Rostam na Mo tunaona wanachofanya! Huyu Bakhresa anafanya nn as CSR? au anagawa sanitizer na mask kisiri? Inasaidia vp kipindi hiki cha ugonjwa? Waambieni waache ubahili!

Rostam



Mo Dewji





Neelkanth chemicals company (part of Motisun group)
Nyinyi mlishachelewa sana kuuzuia huu ugonjwa na kwa sasa number zimefikia (258) huko Tanzania... Yani kwa kasi mnayotupita nayo haijatokea afrika

Sent using Jamii Forums mobile app
 
After Mombasa defeating Dar Es Salaam in all aspects, Kisumu is doing all it can to also beat Dar es Salaam. Go Kisumu, Gooooooooo
EWDSoqLVcAMZr1u.png
EWDSuG4UwAE52Tf.jpg
EWDSuewUcAM82vS.jpg
EWDSpDvUMAYH278.jpg
 
Kunawakati jotto la jiwe aliwahiweka score line ikiwa Kenya 182 vs 20 Tanzania...sasa aje second half asome score board inasoma covid 19 latest score (Kenya 280 vs 258 Tanzania)

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom