Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Angalia mwanzo mpk mwisho ujenzi wa nyumba za Wakenya wanazokesha kutupostia humu hawa jamaa wana dhiki ya kiwango cha SGR kwakweli
tapatalk_1587330982631.jpeg
tapatalk_1587330985972.jpeg
tapatalk_1587330990660.jpeg
tapatalk_1587330993380.jpeg
tapatalk_1587330995833.jpeg
tapatalk_1587330998189.jpeg
tapatalk_1587331000848.jpeg
tapatalk_1587331003387.jpeg
tapatalk_1587331005589.jpeg
tapatalk_1587331007925.jpeg
tapatalk_1587331010097.jpeg
tapatalk_1587331013202.jpeg
 
Mamaeee hv kunyaland wako na akili za hovyo sana wakoradhi wajenge kwa miti ila juu wanawezeka na msouth chn wanakupigia tiles

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hata Bagamoyo sugar kapewa shamba! Pitia Webpage yake! Si ajabu!
Yah nimepitia mtandaoni hapa nahisi watakuwa wana import from Malaysia hizo raw materials, mana hata hizo jitihada za ku revive kilimo cha hilo zao ndo kwnz zimeanza mwaka jana, na materials zilizopo hazitoshelezi kwa ss, unajua hii nchi cjui ilikuwa inaelekea wapi yn Tanzania na Malaysia zina weather zinazofanana kuhimili uzalishaji wa zao hilo cha ajabu Malaysia ni the second world's largest producer while Tanzania is not even in the list dah.
 
Back
Top Bottom